Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,808
- 6,500
​​​​Nimejalibu kufuatilia threads na post nyingi humu janvini, pale threads inapohusu CCM, ni majina haya mawili ya wana CCM ambayo wanajanvi wengi kwa kiasi kikubwa wanayasema sana. kwa upande mmoja wakiyaponda na upande mwingine ukiyapongeza.
Na katika ulingo wa siasa, ukiona mwanasiasa anasemwa sana na jamii, lazima kuna jambo ama zuri au baya analolifanya katika jamii.
Pamoja na CCM kujigamba mara kwa mara kama ni chama kikubwa lakini inaonekana kwa kiwango kikubwa haya majina ndiyo yanayohusiswa sana na shughuli za CCM mpaka inaonekana kama vile CCM haina mtendaji mkuu(katibu mkuu) na watendaji wengine katika sekretarieti za CCM.
​
Wanajanvi,
Is Nape Nnauye and Mwigulu Nchemba a threat to other political party or posioned chalice to CCM.
Tujadili kwa hekima na busara.
Na katika ulingo wa siasa, ukiona mwanasiasa anasemwa sana na jamii, lazima kuna jambo ama zuri au baya analolifanya katika jamii.
Pamoja na CCM kujigamba mara kwa mara kama ni chama kikubwa lakini inaonekana kwa kiwango kikubwa haya majina ndiyo yanayohusiswa sana na shughuli za CCM mpaka inaonekana kama vile CCM haina mtendaji mkuu(katibu mkuu) na watendaji wengine katika sekretarieti za CCM.
​
Wanajanvi,
Is Nape Nnauye and Mwigulu Nchemba a threat to other political party or posioned chalice to CCM.
Tujadili kwa hekima na busara.