Je, mwisho wa chini ya ardhi ya dunia kuna nini?

View attachment 613135

images

View attachment 613136



UKICHUNGUZA VIZURI UTAGUNDUA HAPO CHINI NI MAJI TU,
KWA HIYO NI KAMA ARDHI INAELEA .
Ndugu, mabara hayaelei kwenye maji ya bahari ila maji ya bahari ndio yanaelea kwenye continental kwa maana ya sakafu/ardhi ya chini ya bahari.

Kama mtu mmoja angeweza kuyakausha kabisa maji yoye ya bahari tungeona dunia ikiwa na ardhi kubwa yenye mabonde, na miinuko, haya mabara na visiwa tulivyonavyo ingeonekana kama sehemu za uwanda wa juu au milima, maji yakikauka dunia nzima inabaki kuwa na bara moja tu kwa maana ya muunganiko wa mabara yote.
 
Utatokea upande wa pili kama kweli utaweza kuchimba na hilo shimo liwe na urefu wa km 13,000
Kuna makala nilisoma kuna mtu alikuwa akichimba lengo likiwa kukata na shoka ule muhimili wa dunia ambapo dunia huzunguka ili dunia ishindwe kuzunguka kwenye muhimili wake.Alichimba kama kilomita moja kwenda chini aliyoyaona huko chini ya ajabu alijistukia yuko juu ya dunia akiwa mwehu.Wako wengi wamejaribu lakini hukutana na maluwe luwe mengi ndio maana wamejikita zaidi kwenda anga za juu kuliko kuchokonoa huko chini ya dunia.huko chini ni balaa
 
Sometimes nakaa na kuwaza na kukosa jibu juu ya umbo halisi la dunia. Wanasayansi wanadai dunia ni duara na inaelea hewani, je upande wa chini ya dunia kuna anga kama ili tunaloliona juu au kuko vipi?

Ukichimba ardhi ni umbali kiasi gani kuweza kufika mwisho wa ardhi ya dunia kwenda chini? Ukiangalia picha/mwonekano wa dunia kutoka ISS inaonekana ni kama duara kwa juu tu na picha yake inaonesha mabara yote yamekaa sehemu ya juu ya duara, je wameshindwa nini kupiga picha dunia halisi kwa kuzunguka mduara wote hadi upande wa chini

Mwenye ufahamu kamili kuhusu uhalisia wa umbo la dunia anijuze

Nawasilisha

Naona kadhaa wametoa majibu sahihi kabisa. Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa tafiti za kisayansi kuhusu mambo ya astronomy n.k. Kuna mengi bado tunayatafiti.

Kuhusu dunia. Kwanza dunia na sayari zote zinazozunguka nyota ya(inayoitwa) JUA(SUN), zote ni duara(linaweza lisiwe kamili yaani oval etc)

Kwa hiyo kwa tukiangalia dunia kama tumetoka nje yake(nje ya atmosphere na kwenda kwenye space ambapo nguvu ya uvutano kuturudisha duniani inakuwa ndogo au hakuna kabisa) tutaiona dunia kama duara* na tutaona bahari na nchi kavu ikiwa imetokeza juu ya bahari.

Maana yake kwa picha rahisi ukiliangalia chungwa halafu ukishika lile gamba ndio let say bara la Africa, ukichukua sindano ndefu ukaichoma pale kuelekea upande wowote wa chungwa, utatokea upande mwingine kwenye uso wa chungwa.

Ukiamua kuchoma kuelekea katikati ya chungwa na kuendelea utatokea upande mwingine

Ukiamua kuchoma kuelekea direction yoyote tu utatokea mahala kwingine kwenye uso wa chungwa.

Vivyo hivyo kwenye sayari yetu ya dunia(kama umbo duara). Unaweza kutoboa na kule utakapofikia kukawa na maji juu yake. Maana yake umepita kama ni bahari, basi sea floor/bed na hapo juu ni maji tu ila kile kifaa chako cha uchimbaji mwisho kitatokea mahala juu ya maji(ile bit). Au ukafika kwenye nchi kavu kabisa.

Mara nyingi katika technology ya uchimbaji tunafanya Vertical drilling au Directional Drilling...(ngoja niishie hapa kwa sasa ila natumai umenielewa kwa maelezo yote hapo juu)

upload_2017-10-20_11-33-30.png
 
Kuna makala nilisoma kuna mtu alikuwa akichimba lengo likiwa kukata na shoka ule muhimili wa dunia ambapo dunia huzunguka ili dunia ishindwe kuzunguka kwenye muhimili wake.Alichimba kama kilomita moja kwenda chini aliyoyaona huko chini ya ajabu alijistukia yuko juu ya dunia akiwa mwehu.Wako wengi wamejaribu lakini hukutana na maluwe luwe mengi ndio maana wamejikita zaidi kwenda anga za juu kuliko kuchokonoa huko chini ya dunia.huko chini ni balaa

Mkuu kuna makala za upotoshaji ambazo ukisoma na usipojiongeza utaumiza kichwa.

Mimi nimeshashiriki kwenye uchimbaji wa visima virefu sana tena baharini. Kwenda chini 4 - 5 kilometa. Yaani kwenye meli ya uchimbaji juu ni 1.5km kufika seabed na kutoka hapo seabed mpaka target ni 4-5kms.

Hakuna lolote kama unayoyazungumza zaidi ya kuwa kadiri unavyochimba chini pressure inaongezeka huko chini sababu ya overburned(mkusanyiko wa miamba juu, uzito wake kwenda chini) na joto. Na hii ni kwenye uchimbaji wa visima vya mafuta na gesi.

Jitahidi sana kufuatilia makala za NASA, pia mambo ya astronomy na kuna jamaa mmoja nitatoa link yake yeye ana interest sana ya UFOs!
 
Naona kadhaa wametoa majibu sahihi kabisa. Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa tafiti za kisayansi kuhusu mambo ya astronomy n.k. Kuna mengi bado tunayatafiti.

Kuhusu dunia. Kwanza dunia na sayari zote zinazozunguka nyota ya(inayoitwa) JUA(SUN), zote ni duara(linaweza lisiwe kamili yaani oval etc)

Kwa hiyo kwa tukiangalia dunia kama tumetoka nje yake(nje ya atmosphere na kwenda kwenye space ambapo nguvu ya uvutano kuturudisha duniani inakuwa ndogo au hakuna kabisa) tutaiona dunia kama duara* na tutaona bahari na nchi kavu ikiwa imetokeza juu ya bahari.

Maana yake kwa picha rahisi ukiliangalia chungwa halafu ukishika lile gamba ndio let say bara la Africa, ukichukua sindano ndefu ukaichoma pale kuelekea upande wowote wa chungwa, utatokea upande mwingine kwenye uso wa chungwa.

Ukiamua kuchoma kuelekea katikati ya chungwa na kuendelea utatokea upande mwingine

Ukiamua kuchoma kuelekea direction yoyote tu utatokea mahala kwingine kwenye uso wa chungwa.

Vivyo hivyo kwenye sayari yetu ya dunia(kama umbo duara). Unaweza kutoboa na kule utakapofikia kukawa na maji juu yake. Maana yake umepita kama ni bahari, basi sea floor/bed na hapo juu ni maji tu ila kile kifaa chako cha uchimbaji mwisho kitatokea mahala juu ya maji(ile bit). Au ukafika kwenye nchi kavu kabisa.

Mara nyingi katika technology ya uchimbaji tunafanya Vertical drilling au Directional Drilling...(ngoja niishie hapa kwa sasa ila natumai umenielewa kwa maelezo yote hapo juu)

View attachment 613165
HII PICHA HUWA MARA NYINGI HAIONESHWI YAA NI HUKO CHINA NA NYUMA YAKE KUUNGANA NA MAREKANI . JE KUNA SABABU YOYOTE? MAANA HIYO NDIO SABABU HUYU ALIULIZA HUKO NYUMA KUNA GIZ? HATUONI PICHA ZA DUNIA ZINAZOONESHA MAENEO hayo kama ulivyonesha hapo. ndo maama ya swali hili kujitokeza.
 
Lazma tujue dunia ni miongoni mwa sayari zinazolizunguka jua. Dunia inaelea kama sayari nyingine. Ukienda anga za juu. Utaiona dunia ni tufe kuuubwa.

Kuchimba shimbo utokee upande wa pili wa dunia hyo ni ndoto
 
Kama dunia ni duara kipenyo cha dunia ni ukubwa gani? Kwamba ukichimba shimo LA urefu kiasi gani ndo utatokea upande Wa pili? Halafu hizi picha za dunia tunazoonueshwa mabara tote yapo juu ni picha halisi za dunia yetu kwamba upande Wa pili Hamna kitu au!?
mkuu ile picha ya dunia ni kama imepigwa upande wa juu,chini ,mashriki na maghaibi,then ndipo wakaziunganisha na kupata picha moja

kitu cha kujiuliza ,ambacho pia ndicho kitakupa jibu

1: kwenye picha inaonyesha marekani ipo mbali na bara la Asia lakini ki uhalisia zipo karibu mno

2: bara la antarctica ambalo lipo karibu na south afrika(kulingana na picha ya flat tulioizoea) ni bara ambalo lipo karibu na bara la ulaya ina maana hapa mtu anayetoka kenya kwenda bara la ulaya na mtu anayetoka afrika kusini na kwenda ulaya pia ,wa kwanza kufika(atakayetumia mda mdogo) ni wa kutoka afrika kusini kwenda bara la ulaya

kwa sababu hizo basi south pole ipo karibu sana na north pole,pia east ipo karibu sana na west

naweza kusahihishwa pia ama kuongezea nilichosahau

asante
 
Kama dunia ni duara kipenyo cha dunia ni ukubwa gani? Kwamba ukichimba shimo LA urefu kiasi gani ndo utatokea upande Wa pili? Halafu hizi picha za dunia tunazoonueshwa mabara tote yapo juu ni picha halisi za dunia yetu kwamba upande Wa pili Hamna kitu au!?
mkuu ile picha ya dunia ni kama imepigwa upande wa juu,chini ,mashriki na maghaibi,then ndipo wakaziunganisha na kupata picha moja

kitu cha kujiuliza ,ambacho pia ndicho kitakupa jibu

1: kwenye picha inaonyesha marekani ipo mbali na bara la Asia lakini ki uhalisia zipo karibu mno

2: bara la antarctica ambalo lipo karibu na south afrika(kulingana na picha ya flat tulioizoea) ni bara ambalo lipo karibu na bara la ulaya ina maana hapa mtu anayetoka kenya kwenda bara la ulaya na mtu anayetoka afrika kusini na kwenda ulaya pia ,wa kwanza kufika(atakayetumia mda mdogo) ni wa kutoka afrika kusini kwenda bara la ulaya

kwa sababu hizo basi south pole ipo karibu sana na north pole,pia east ipo karibu sana na west

naweza kusahihishwa pia ama kuongezea nilichosahau

asante
 
Ndugu, mabara hayaelei kwenye maji ya bahari ila maji ya bahari ndio yanaelea kwenye continental kwa maana ya sakafu/ardhi ya chini ya bahari.

Kama mtu mmoja angeweza kuyakausha kabisa maji yoye ya bahari tungeona dunia ikiwa na ardhi kubwa yenye mabonde, na miinuko, haya mabara na visiwa tulivyonavyo ingeonekana kama sehemu za uwanda wa juu au milima, maji yakikauka dunia nzima inabaki kuwa na bara moja tu kwa maana ya muunganiko wa mabara yote.
KWA NINI POPOTE UKICHIMBA KISIMA KWENDA CHINI SANA UNAPATA MAJI,NA UMESEMA MAJI YANAELEA JUU YA ARDHI TU.
 
Its 30,000m down to the earth crust ila binadamu kashachimba 12,000 mpka sasa,ugumu ni joto kali
 
Ukiwa manzese ukichimba kwenda nchi unatokea las vegas us kuna mwanangu anawasafilisha sana diasporas kwenda us
 
Kwanza hutaenda mbali kwani utakuja moto wa ajabu na utarudi kwa speed ya light. Ukiweza kuupooza, tafuta kwanza kipenyo cha dunia ili ujue utachimba umbali gani ili utokee upande mwingine. Huenda sayansi ni kitu kinachofanana tu na ukweli anaejua ni Muumba
 
ISSUE NI KWAMBA UNAVYOCHIMBA HAPO KATIKATI UNAKUTANA NA NINI MAJI AU ARDHI UMESHAWAHI KUONA WANAOCHIMBA VISIMA NA BAADA KUPASUA MKONDO WA MAJI UNAYAONAJE YALE MAJI YAKIWA NA PLESHA KUBWA .
 
KWA NINI POPOTE UKICHIMBA KISIMA KWENDA CHINI SANA UNAPATA MAJI,NA UMESEMA MAJI YANAELEA JUU YA ARDHI TU.
Inabidi kutoa shule murua maana kuna mengi sana sana ambayo kumbe wengi hawayajui.

Sijasema kuwa maji yaliyopo duniani ni hayo tunayoyaona ambayo yako juu ya seafloor(kama ni bahari), La Hasha!

Miamba inayotengeneza ardhi mpaka juu yetu ilitengenezwa na inatengenezwa kwa mfumo wa deposition.

Kuna baadhi ya miamba ni milaini na mingine ni migumu. Hii milaini inakuwa na uwazi ndani - pores, na huu uwazi uhifadhi maji, mafuta, gesi na vimiminika vingine kama vipo.

So chini ya ardhi, kwenye miamba(piga picha mfano wa mwamba kama sponji - sponji lililo na maji ndani yake), baadhi ya miamba inakuwa na maji! Ambayo hayo maji yanakuwa yametoka kwenye chanzo fulani ambacho labda sababu ya ufa yakaenda mpaka kwenye huo mwamba. Na sababu labda mwamba wa chini yake ni mgumu(seal rock) so maji yakashindwa kwenda zaidi na kukaa kwenye huo mwamba laini na ukichimba ukayakuta.

Cha kukushauri jaribu kupitia vitu taratibu na uwe umetulia(kama haukuwa na background ya skuli ya hizi vitu). Ila pia ninaweza kukupa links kadhaa zitakazo kusaidia kusoma na kupata mwanga.
 
KWA NINI POPOTE UKICHIMBA KISIMA KWENDA CHINI SANA UNAPATA MAJI,NA UMESEMA MAJI YANAELEA JUU YA ARDHI TU.
Udongo unatokana na miaka mingi ya mmomonyoko wa miamba pamoja na vitu vingine Kama mabaki ya viumbe hai.

Navyoelewa mimi,maji yanaweza kupita udongo na mawe yenye nafasi yanavyozidi kushuka chini.

Kwa hiyo kuna maji yanayofanikiwa kushuka kiasi flani chini ya ardhi na baadae kuzuiwa na miamba.
(Kama sijakosea nadhani hii ndiyo sababu maji ya chini yana presha kubwa kwasababu ya nafasi ndogo ya maji kupenya huku yakiwa na nguvu kubwa)

Kwa hiyo maji hayo hujikusanya.
Anayechimba na kukuta maji chini haimaanishi yalipofika ndio mwisho wa ardhi,la hasha.

Hivyo maji yanaelea juu ya Ardhi.
 
Inabidi kutoa shule murua maana kuna mengi sana sana ambayo kumbe wengi hawayajui.

Sijasema kuwa maji yaliyopo duniani ni hayo tunayoyaona ambayo yako juu ya seafloor(kama ni bahari), La Hasha!

Miamba inayotengeneza ardhi mpaka juu yetu ilitengenezwa na inatengenezwa kwa mfumo wa deposition.

Kuna baadhi ya miamba ni milaini na mingine ni migumu. Hii milaini inakuwa na uwazi ndani - pores, na huu uwazi uhifadhi maji, mafuta, gesi na vimiminika vingine kama vipo.

So chini ya ardhi, kwenye miamba(piga picha mfano wa mwamba kama sponji - sponji lililo na maji ndani yake), baadhi ya miamba inakuwa na maji! Ambayo hayo maji yanakuwa yametoka kwenye chanzo fulani ambacho labda sababu ya ufa yakaenda mpaka kwenye huo mwamba. Na sababu labda mwamba wa chini yake ni mgumu(seal rock) so maji yakashindwa kwenda zaidi na kukaa kwenye huo mwamba laini na ukichimba ukayakuta.

Cha kukushauri jaribu kupitia vitu taratibu na uwe umetulia(kama haukuwa na background ya skuli ya hizi vitu). Ila pia ninaweza kukupa links kadhaa zitakazo kusaidia kusoma na kupata mwanga.
NAYAFAHAMU HAYO MKUU ILA NAFIKIRI KWA NJE YA BOX TU.
images
 
Back
Top Bottom