Je, mwanaume handsome anasifa zipi?

Je, mwanaume handsome anasifa zipi?

Naona wengi mmeweka pesa na vitu mbele ya uzuri wa mtu. Lakini kuna wanaume ni ma handsome kwa mwonekano wao. Ila hata kama una mwonekano mzuri, kama hauna sense ya usafi na unadhifu ni kazi bure!
 
Uwe na Amani.. Inayokufanya uwe unatabasamu tu hujui kukasirika.. Uwe na Hofu ya Mungu.. Inayotokana na Mibaraka mikubwa Anayokushushia... Biashara inakwenda, Nadhifu...Mzee Wa Kanisa..huku Mtaani unaheshimika na mawazo mema...

Hii yote hutokea pale Account haiko malnourished... Lately sifa hizi zimekuwa kama "Kakakuona" hazionekani kwa urahisi.
 
Binafsi sielewi,

Mbali na kukosa hela na kutokua na pamba kali, nimekua nikipokea attention za ajabu kwenye watu wengi.

Wadada walonizidi, watu wazima na wake za watu wakifunguka kunitaka wazi wazi na kuhongwa, nikikataa wanasema naringa na sijiamini.

Walevel zangu nikiwafata hunikataa kwa madai nimuongo siko single. Yupo alowahi niambia mimi mzuri ila nisiringe.

Wapo walionisifia kwa macho, wengine nywele za kisomali, wengine lips, wengine kifua na vitu kibao tofauti.

Waajabu ni wanne walozimika na vidole vya mikono mpaka vikawadoloa.
ila wengi huniogopa kudhani ni player kumbe no.

Swali!

Handsome anasifa zipi?

Kwanini wadada mnaogopa wakaka wenye muonekano mzuri?

View attachment 639444

Bila kusahau bado sina kazi naganga njaa, mana siamini katika msingi kiuno.
Jombaa hivyo ambavyo hauna ndiyo vigezo vya kuwa handsome pambana uvipate kisha vjumuishe na ulivyo navyo kisha sasa jilinganishe na pale mwanzo
 
Siwezi thibisha how gentle and strong i am, naona wengi mnaona kma si mwanaume rijali,

Its tru sina hela , nikisema sinahela ieleweke nnashida kweli na ningekua cheap kama mnavyodhan kutokana na wake za watu na watu wazima na hela zao wanavyosumbua hata mtaji wa 5m au kupata kaz kwa msingi kiuno ningeshapata, but am GOD fearing najua nikipitia njia hizo hata nikitajirika sitakua na mali ya halali, au mwanamke anicontrol kwa mali zake. Natafuta njia halali ya kupata pesa,

Swali langu la msingi lipo ktk heading.
Coz weninge wananisumbua hadi kunitia majaribuni na matatizoni hasa kwa waume zao.
Kwene kucha sio rangi, ni HINNA YA ASILI, as i said nilisikia ni sunna since nakua ila nilipopata elimu ya dini nikajua ni uongo nimeacha
 
Godfrey-Baguma-main.jpg
 
Mwanaume handsome ni mwenye bank account ambayo ni obese.
hume nena
hakuna mwanaume mbaya wala mwanamke mbaya,ukiwa na vitu vitatu uwezo wa kujikimu,muonekano ndani ya jamii kimatendo,kujitunza.hapo kila mtu hata kupenda
 
Ukiwa na pesa wewe ni handsome,pia hakuna mwanaume mbaya mbele ya mpezi wake au mkewe,ninachoamini ukishaamua huyo ndio mume/mpenzi wangu automatically utakuwa handsome to her..
 
Kama hivyo ndo vidole vyako alafu umepaka na rangi kuna walakini aisee
 
Kama wewe ni Mwanaume... sorry; kama ni MWANAUME, basi vingine unavyosifiwa inatakiwa iwe siri yako!

Unawekaje hadharani kwamba unasifiwa una LIPS mzuri?! Mbona unanipa mashaka we jamaa?!
 
Nina pesa ila sijulikani warembo karibuni kwenye uwekezaji huria, sharti ni moja, sirudiagi hata uwe na ladha kiasi gani
 
Kidume halisi ni yule mwenye sura ngumu, mwili mkakamavu, sauti nenee.
Ila dunia ya leo mwanaume mrendemko, sura kama dada zake ndio anaonekana wa ukweli. Tatizo wa Dsm + chips kuku.
 
Binafsi sielewi,

Mbali na kukosa hela na kutokua na pamba kali, nimekua nikipokea attention za ajabu kwenye watu wengi.

Wadada walonizidi, watu wazima na wake za watu wakifunguka kunitaka wazi wazi na kuhongwa, nikikataa wanasema naringa na sijiamini.

Walevel zangu nikiwafata hunikataa kwa madai nimuongo siko single. Yupo alowahi niambia mimi mzuri ila nisiringe.

Wapo walionisifia kwa macho, wengine nywele za kisomali, wengine lips, wengine kifua na vitu kibao tofauti.

Waajabu ni wanne walozimika na vidole vya mikono mpaka vikawadoloa.
ila wengi huniogopa kudhani ni player kumbe no.

Swali!

Handsome anasifa zipi?

Kwanini wadada mnaogopa wakaka wenye muonekano mzuri?

View attachment 639444

Bila kusahau bado sina kazi naganga njaa, mana siamini katika msingi kiuno.
Kama kucha zenyewe ndio hizo tena umezipaka na rangi nina wasiwasi na we we aisee
 
Back
Top Bottom