Je, Mwanamke mvuta Bangi anafaa Kuolewa?

Je, Mwanamke mvuta Bangi anafaa Kuolewa?

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,992
Reaction score
5,663
Wakuu tujuzane kama mwanamke mvuta bangi anafaa kuoa. Tupo wanaume ambao baadhi yetu tumeshakutana na wanawake warembo lakini wanavuta bangi hali hiyo ikatusikitisha sana.

Je, mwanamke kama huyu ambaye ameshakuwa mtumiaji wa bangi anafaa kuoa? Je anaweza kuhudumia watoto wake kama wanawake wengine na kuishi kwenye familia kama mama wa nyumbani au ndo basi tena akishavuta bangi hafai kuoa mana ataleta usumbufu kwenye familia? Je wazazi, wifi na shemeji wakigundua kuwa mke ni mvuta bangi wanamchukuliaje mme wake?

Mana swali kubwa kwa sisi wanaume kama mke ni mvuta bangi mwanaume atakapofariki ghafla au kupatwa na tatizo upi usalama wa familia na mali zake kama anabaki huyu mwanamke mvuta bangi?
 
Ulishaishi nae? Tupe experience

Funga arusi utapata experience huko huko, wewe unataka waolewe na nani?

Toka nizaliwe na miaka yangu 50 sijawahi shika bangi, au ona mwanamke anavuta.

Ni ajabu hata kusikia mtu anaweza kufikiri kuoa mvuta bangi, ni ajabu sana umeuliza, nilifikiri unatania, pole.
 
Back
Top Bottom