Utaenda kuanza moja huko Marekani. Ya bongo yaachie Bongo. Amua mwenyeww,uende ukaanze moja kwenye vyuo vyenye heshima au utabaki hapa kuendelea na masomo yako?GED ndo course gan bro! Mi ninasoma bachelor ila nimepata chuo USA na wadhamini wapo je process ikoje