Hivi siku hizi akili zinauzwa ghali sana kiasi kwamba wengine tunashindwa kununua? Mbona majibu yako wazi?!!! Mtoto wa kambo anamrithi MAMA YAKE MZAZI na sio baba wa kambo. Sehemu ya urithi atakayopata mama ndiyo atamgawia mwanaye huyo. Hauzuwii kumpa kama wosia na sio mirathi! Pili mama hana ushirika kwa vitu alivyovikuta! Hata ulivyopata akiwepo mchango wake lazima uwe calculated! HAKUNA AUTOMATIC 50-50! Usiogope kwenda mahakamani hiyo ndio sheria. Tafuta family lawyer mzuri ulinde haki zako!
Kitakachouua wewe ni mkeo, mume aliyezaa naye na huyo mtoto wa kambo.
Mtoto msomeshe hujui kesho yake.
Mali hauondoki nazo, wagawie watoto wote sawa,...
Najibu hapo mwisho kwenye mchango wa mwanamke. Mke wako ana haki na mali zako hata kama amezikuta.. mchango wake sio lazima uwe pesa..Kama anatekeleza majukumu ya kulea familia na kukutunza huo ni mchango tosha. Haki anayo kama hajakiuka mambo mengine ya mahusiano yenu...
Bahati mbaya bado mnatuoa. Acheni viherehere la sivyo mjiandae kwa majanga.K
Kuowa mwanamke mwenye mtoto ni kujitakia stress tu..mwisho wa siku ni kutafutana uchawi tu...kama amezaa apambane na hali yake tu...
Hii Moja bila ni afadhari ikawa kwa mwanaume maana wanaume tukitema huwa hatuna mjadala.Ndo maan kuowa aggregate 1,0》》》moja bila sitaki...huko mbele lazima kuwe na kisanga...
Najibu hapo mwisho kwenye mchango wa mwanamke. Mke wako ana haki na mali zako hata kama amezikuta.. mchango wake sio lazima uwe pesa..Kama anatekeleza majukumu ya kulea familia na kukutunza huo ni mchango tosha. Haki anayo kama hajakiuka mambo mengine ya mahusiano yenu...
😂😂😂😂😂😂😂...Watetee walau kidogo basi...wanateseka na ndoa wanazitamani ujueeBahati mbaya bado mnatuoa. Acheni viherehere la sivyo mjiandae kwa majanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama wanazitamani sio muwaoe halafu mje kulalamika....Watetee walau kidogo basi...wanateseka na ndoa wanazitamani ujuee
Nyie ndio mnakera. Utake atumie jina lako halafu nikate mawasiliano na baba yake halafu usihudumie ipasavyo?Maneno mengi, point mbili tu. Kiufupi umeshangaza.. Mnakera sana. Yaani unategemea apate matunzo sawa na ya watoto wake wa damu?
Wakati baba ake yupo anadunda tu kitaa??
Never ever!
Atapata matunzo safi.. lkn kamwe siyo sawa na ya watoto wa damu. Kamwe. Hii ni pamoja na kukosa priorities.. Nature ndo ipo hivyo.
Na ndoa yenu ina Hali gani Kwa sasa?Najibu hapo mwisho kwenye mchango wa mwanamke. Mke wako ana haki na mali zako hata kama amezikuta.. mchango wake sio lazima uwe pesa..Kama anatekeleza majukumu ya kulea familia na kukutunza huo ni mchango tosha. Haki anayo kama hajakiuka mambo mengine ya mahusiano yenu...
Bora ulikiepuka kikombeSumu hailambwi kwa kuionja...kuna mmoja nilitaka kuingia mkenge...nilipoea chupu chupu na ndoa nilikuwa tayar nimeshatangaza...
Umeongeea vizuri sana hapa. Naunga mkono ulichokisema.Hivi siku hizi akili zinauzwa ghali sana kiasi kwamba wengine tunashindwa kununua? Mbona majibu yako wazi?!!! Mtoto wa kambo anamrithi MAMA YAKE MZAZI na sio baba wa kambo...
Miaka sio issue