wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Sijajua ni kanuni gani au sheria gani msajili anatumia kulingana na madaraka alionayo lakini ikitokea labda chama cha siasa kilichopo madarakaani kikatokea kimeshindwa au kumefanya kosa ambalo ni kubwa, je, na uwezo wa kukifuta? Na ikitokea labda amefuta hivi nini itatokea?