Boda boda Hadi kyotera? Sio mchezo !Mpaka wa TZ na UG bado umefungwa kwa shuguli zote za kijamii. Isipokuwa kwa usafirishaji kutumia gari ya mizigo. Gari toka Tzz itaingia Ug ikiwa na Dreva aliyepimwa bila tingo. Kuingia Tz kutoka Ug hamna shida kubwa. Abiria mwenye shida sana kuingia Ug anatumia njia ya panya kuvuka mpaka a kisha panda pikipiki hadi Kyotera. Kutokea hapo unaweza pata matatu hadi Kampala.