Je, mlinzi wa Rais Obama ni Alien?

Je, mlinzi wa Rais Obama ni Alien?

The Businessman

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
7,397
Reaction score
9,264
Inasemekana kuwa huyu bodyguard wa rais wa Marekani ni mchanganyiko na damu ya Alien. Hebu muangalie vizuri.

1436451857033.jpg

1436451886240.jpg

1436451915503.jpg

1436451948312.jpg

Is Obama's bodyguard an alien or a devil?
 
Du hizi filamu ambazo watoto wanaangalia wakati hawajakua ni tatizo , basi ngoja nipite tu
 
Kwa hiyo hapo unatuonyesha sample ya damu yake au picha yake? mtoa mada acha kuabudu wamarekani enzi za kudhania marekani nikila kitu zimepitwa na wakati
 
Ni Alien na Mossad ndo waliweza kugundua hilo Allien likipita
 
Hili jamaa si la kawaida..
nani anajua historia ya huyo mlinzi aiweke hapa tuone
 
Huyu hata record zake ukute hazipo
 
sio kweli hii ishu,
tafuta video za hii kitu check hata youtube zipo ni sanaa tupu,
wamarekani wamezua tu hili
 
MKUU MWANGA LUTILA
Ni kweli kabisa umenena, jamii yangu hiyo!!
Wapo jamii nyingi ila vita ambayo US wanaipeleka kwenye viumbe vya outer space including aliens itajawacost sana Kama walivyoonywa when they visited the moon.
 
Mkuu acha kupoteza muda wako kujadili masuala ya waUSA ambayo hayana direct impact na your day to day engagements!
 
Hili jamaa si la kawaida..
nani anajua historia ya huyo mlinzi aiweke hapa tuone

Hivi ni lini sisi waafrika tutahacha na story hizi za kijinga kuwa kuna viumbe wa alliens? hio ni hadithi za kifikirika ambazo zimetumika kutengeza move na mambo mengine lakini kiuhalisia hakuna kiumbe wa namna hiyo hata kidogo, tuache ujinga huu jamani.
 
Hivi ni lini sisi waafrika tutahacha na story hizi za kijinga kuwa kuna viumbe wa alliens? hio ni hadithi za kifikirika ambazo zimetumika kutengeza move na mambo mengine lakini kiuhalisia hakuna kiumbe wa namna hiyo hata kidogo, tuache ujinga huu jamani.

Mkuu nimesema hapo juu, hizi picha/movies ambazo watoto wadogo kama mleta mada wanaangalia bila control ya wazazi ni hatari sana. Vitu vya kufikirika kama zombie , vampire , aliens ,Spider-Man , batman nk nk watoto wadogo kama mleta mada wana fikiria vitu hivyo vina exist
 
Kuna video moja ndeefu niliihifadhi inayomhusu huyo bodyguard,kwa jinsi wanavyomchambua utaona kweli si binadamu wa kawaida,wanaonyesha muundo wa fuvu lake(skull)ambalo linafanana kama la jamii ya mjusi,na ile movement ya kichwa chake anavyozunguka from left to right and right to left kwa ufasaha as if anazungushwa na machine,pia macho yake hayapepesi kama binaadamu wa kawaida,yaani yametulia tuli kama gololi,siamini kuwa ni allien,ila ana kitu cha tofauti kinachomtofautisha na mimi na wewe,kama ni mafunzo basi alifaulu vyema.
 
Huyu bodyguard ni Mndengereko ila mama yake Mnyakyusa. Alizaliwa mnamo mwaka wa 1970 hapa hapa Dar hospitali ya Temeke akalelewa Mbagala. Alizamia meli kwenda USA mwaka 1995.

Ukitaka copy ya passport, niPM.

Am being a cynic!!!!!
 
Back
Top Bottom