Je, mke kwanza au wazazi kwanza?

Je, mke kwanza au wazazi kwanza?

Sijui kwa nini huwa mnapenda kulinganisha watu wawili tofauti kabisa kwenye maisha yenu.

Mzazi ana nafasi yake, irreplaceable...halinganishwi.
Mke ana nafasi yake ya kipekee kabisa, mama wa watoto wako, ana thamani kubwa sana.
 
Mama ndio kila kitu. Mke akizingua hata kesho unabadili ila mama habadiliki. So ukiwa na akili timamu utajua nani zaidi hapo.
 
Back
Top Bottom