PreGE2025 Je mitandao ya kijamii inalaghai vyama pinzani?

PreGE2025 Je mitandao ya kijamii inalaghai vyama pinzani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

achuuuu

Member
Joined
Jul 29, 2024
Posts
89
Reaction score
138
Je nitakuwa nipo sahihi au nitakuwa nimepotoka?

Nikisema mitandao ya kijamii inatudanganya sisi vyama pinzani Maana ukiaangalia tunavyopata uungwaji mkono mitandaoni ni tofauti na kwenye maisha ya uhalisia uku mtaani wananchi wengi hawana muamko wala uelewa wa mambo ya nchi yanavyokwenda wao wanawaza maisha yao zaidi!!!

Na ata uko kwenye mitandao ukipitia maoni ya watanzania wengi hawana uelewa wa siasa wengi ni vijana wa 2000 wao wanachokijua ni kuvaa suruarii kubwa na mayebo yebo makubwa!!pia ukienda vyuo vikuuu ndo kabisaa watu ni hewa kabisaaa!!!

Nashuuri uongozi wetu wa vyama pinzani watumie nguvu kubwa kuelimisha wananchi wa mitaani na na vijijini kuliko kuwekeza nguvu kwenye mitandao maana tangu wawekeze nguvu uko akuna matumaini wameitisha maandamano ameuzuria mwenyekiti na familia yake
 
Je nitakuwa nipo sahihi au nitakuwa nimepotoka?

Nikisema mitandao ya kijamii inatudanganya sisi vyama pinzani Maana ukiaangalia tunavyopata uungwaji mkono mitandaoni ni tofauti na kwenye maisha ya uhalisia uku mtaani wananchi wengi hawana muamko wala uelewa wa mambo ya nchi yanavyokwenda wao wanawaza maisha yao zaidi!!!

Na ata uko kwenye mitandao ukipitia maoni ya watanzania wengi hawana uelewa wa siasa wengi ni vijana wa 2000 wao wanachokijua ni kuvaa suruarii kubwa na mayebo yebo makubwa!!pia ukienda vyuo vikuuu ndo kabisaa watu ni hewa kabisaaa!!!

Nashuuri uongozi wetu wa vyama pinzani watumie nguvu kubwa kuelimisha wananchi wa mitaani na na vijijini kuliko kuwekeza nguvu kwenye mitandao maana tangu wawekeze nguvu uko akuna matumaini wameitisha maandamano ameuzuria mwenyekiti na familia yake

Unadhani kuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kupinga umuhimu wa kuwa na tume huru kabla ya uchaguzi?
 
Je nitakuwa nipo sahihi au nitakuwa nimepotoka?

Nikisema mitandao ya kijamii inatudanganya sisi vyama pinzani Maana ukiaangalia tunavyopata uungwaji mkono mitandaoni ni tofauti na kwenye maisha ya uhalisia uku mtaani wananchi wengi hawana muamko wala uelewa wa mambo ya nchi yanavyokwenda wao wanawaza maisha yao zaidi!!!

Na ata uko kwenye mitandao ukipitia maoni ya watanzania wengi hawana uelewa wa siasa wengi ni vijana wa 2000 wao wanachokijua ni kuvaa suruarii kubwa na mayebo yebo makubwa!!pia ukienda vyuo vikuuu ndo kabisaa watu ni hewa kabisaaa!!!

Nashuuri uongozi wetu wa vyama pinzani watumie nguvu kubwa kuelimisha wananchi wa mitaani na na vijijini kuliko kuwekeza nguvu kwenye mitandao maana tangu wawekeze nguvu uko akuna matumaini wameitisha maandamano ameuzuria mwenyekiti na familia yake
Hili ni kweli, mitandao imewatengenezea watu echo chambers ambazo wanasikilizana wao kwa wao na kukubaliana.

Uhalisia huko mtaani ni tofauti. Naona hata mikutano ya mwenyekiti kabla ya kukamatwa na kubambikiwa kesi kuna namna ilipwaya, ila ukijaribu kusema humu utatusiwa.

Mfano: Upinzani, mwamko na ushiriki wa wananchi wa mwaka 2015 huwezi kuufananisha na leo, hatutaki tu kusema ukweli humu mtandaoni.
 
Back
Top Bottom