Je, mimba itakuwa imetoka?

Sigara Kali

JF-Expert Member
May 28, 2017
3,623
8,428
Wakuu salama

Kwanza nawasihi sihitaji matusi,kashfa au kejeli yoyote,huna cha kushauri kaa kimya tu.

Kuna demu alikua na mimba na juzi ilikua siku ya 25

Akatumia misoprostal 200 mg nne ,mwenyewe anasema baada ya kutumia aliumwa tumbo na kutokwa na damu kiasi.

Asubuhi damu ikatoka kidogo kidogo sana na maumivu ya tumbo kiasi.

Leo anasema damu zimekata,je kwa mimba ya siku 25 itakua kweli imetoka kwa hizo damu kidogo manake juzi usiku ndo alitumia akadai zimetoka kiasi za mabonge bonge then zikatoka matone tone hadi Leo zimekata

Wataalam nisaidieni kwa situation hii nliyoielezea ni kweli mimba itakua imetoka au demu ananiletea ujanja ujanja???
 
Wakuu salama

Kwanza nawasihi sihitaji matusi,kashfa au kejeli yoyote,huna cha kushauri kaa kimya tu.

Kuna demu alikua na mimba na juzi ilikua siku ya 25

Akatumia misoprostal 200 mg nne ,mwenyewe anasema baada ya kutumia aliumwa tumbo na kutokwa na damu kiasi.

Asubuhi damu ikatoka kidogo kidogo sana na maumivu ya tumbo kiasi.

Leo anasema damu zimekata,je kwa mimba ya siku 25 itakua kweli imetoka kwa hizo damu kidogo manake juzi usiku ndo alitumia akadai zimetoka kiasi za mabonge bonge then zikatoka matone tone hadi Leo zimekata

Wataalam nisaidieni kwa situation hii nliyoielezea ni kweli mimba itakua imetoka au demu ananiletea ujanja ujanja???
Mpeleke hosp mkapime utaujua ukweli
 
Wataalam wanasema inabidi ipite angalau wiki baada ya kutoa hapo ndo ukweli utajulikana ,manake akipimwa saa hivi HCG bado zitakuwepo ina maana mimba itaonekana zile homoni huwaga zinachelewa kuisha kwenye uterus
Mpeleke hosp mkapime utaujua ukweli
 
Si uwaamini hao wataalam usubiri au wiki ni mbali sana
Wataalam wanasema inabidi ipite angalau wiki baada ya kutoa hapo ndo ukweli utajulikana ,manake akipimwa saa hivi HCG bado zitakuwepo ina maana mimba itaonekana zile homoni huwaga zinachelewa kuisha kwenye uterus
 
Wataalam wanasema inabidi ipite angalau wiki baada ya kutoa hapo ndo ukweli utajulikana ,manake akipimwa saa hivi HCG bado zitakuwepo ina maana mimba itaonekana zile homoni huwaga zinachelewa kuisha kwenye uterus
Hiki ndicho ukweli wenyewe, kiamini hicho tuliza wenge brother.
 
Poa mkuu,ujue Mimi aliponiambia katumia zile dawa na kupata bleed nlimwelewa lakini at the end of time mwenyewe hajiamini anasema damu zimekata Leo so anahisi bado mimba ipo,mi nasubiri week nikamchek tena kwenye ultrasound
Hiki ndicho ukweli wenyewe, kiamini hicho tuliza wenge brother.
 
Wakuu salama

Kwanza nawasihi sihitaji matusi,kashfa au kejeli yoyote,huna cha kushauri kaa kimya tu.

Kuna demu alikua na mimba na juzi ilikua siku ya 25

Akatumia misoprostal 200 mg nne ,mwenyewe anasema baada ya kutumia aliumwa tumbo na kutokwa na damu kiasi.

Asubuhi damu ikatoka kidogo kidogo sana na maumivu ya tumbo kiasi.

Leo anasema damu zimekata,je kwa mimba ya siku 25 itakua kweli imetoka kwa hizo damu kidogo manake juzi usiku ndo alitumia akadai zimetoka kiasi za mabonge bonge then zikatoka matone tone hadi Leo zimekata

Wataalam nisaidieni kwa situation hii nliyoielezea ni kweli mimba itakua imetoka au demu ananiletea ujanja ujanja???
Hizi dawa za misoprostol si dawa za kutoa mimba hizi. Na Kwanini katumia wakati anajua ni mjamzito, mlikuwa na nia ya kukafyekeleaaa mbali kababy jamani????, kangekuwa kabunge hako. Itakuwa imetoka ila ni lazima aende hospitali akaangaliwe na pia akasafishwe kuna dawa maalumu atapewa akiacha hivyo hivyo mirija itaziba na ikiziba kwa muda mrefu atapata matatizo ikiwamo na kuharibu kizazi kitakachopelekea kutoa kizazi huko mbeleni
 
Poa mkuu,ujue Mimi aliponiambia katumia zile dawa na kupata bleed nlimwelewa lakini at the end of time mwenyewe hajiamini anasema damu zimekata Leo so anahisi bado mimba ipo,mi nasubiri week nikamchek tena kwenye ultrasound
kuna kimoja alitakiwa aanze nacho baada ya siku2 amalizie na vi4
 
Poa mkuu,ujue Mimi aliponiambia katumia zile dawa na kupata bleed nlimwelewa lakini at the end of time mwenyewe hajiamini anasema damu zimekata Leo so anahisi bado mimba ipo,mi nasubiri week nikamchek tena kwenye ultrasound
Ultrasound haitoweza kuonesha ujauzito kama umetoka, njia za kawaida tu, siku 25 ni very early first trimester, hata mimba yenyewe inakuwa ni hicho ulichokiona mabonge bonge ya damu, so probably hicho ulichokiona ndio mimba yenyewe imetoka.
 
Ultrasound haitoweza kuonesha ujauzito kama umetoka, njia za kawaida tu, siku 25 ni very early first trimester, hata mimba yenyewe inakuwa ni hicho ulichokiona mabonge bonge ya damu, so probably hicho ulichokiona ndio mimba yenyewe imetoka.
I think so manake kadri mimba inavyokua kubwa ndivyo wingi wa damu unavyokua mkubwa na maumivu pia
 
Kadri ukubwa wa mimba ulivyo ndivyo wingi wa damu utakavyokua, ila siyo baada ya abortion mtu anatakiwa aunge na period?

I mean mimba imetoka jana damu imeanza kutoka then imekata ghafla usikute bado ipo na mwisho ni mtazaa mtoto hana kiungo.

PS: Mimi siyo daktari lakini.

PPS: Nchi yetu inasapoti uzazi wa mpango.
 
Pole, sidhani kama kuna ultra sound ina onyesha mimba ya siku 25! next time usisahau mpira kuepuka haya yote.
 
Damu zimeanza kumtoka juzi usiku ,Jana kashinda zinatoka ila kidogo kidogo tofauti na ile juzi Leo zimetoka kidogo mwisho zimekata
Kadri ukubwa wa mimba ulivyo ndivyo wingi wa damu utakavyokua, ila siyo baada ya abortion mtu anatakiwa aunge na period?

I mean mimba imetoka jana damu imeanza kutoka then imekata ghafla usikute bado ipo na mwisho ni mtazaa mtoto hana kiungo.

PS: Mimi siyo daktari lakini.

PPS: Nchi yetu inasapoti uzazi wa mpango.
 
Inaelekea wewe ni Daktari. Sasa sijui unatafuta nn
Wataalam wanasema inabidi ipite angalau wiki baada ya kutoa hapo ndo ukweli utajulikana ,manake akipimwa saa hivi HCG bado zitakuwepo ina maana mimba itaonekana zile homoni huwaga zinachelewa kuisha kwenye uterus
 
Kadri ukubwa wa mimba ulivyo ndivyo wingi wa damu utakavyokua, ila siyo baada ya abortion mtu anatakiwa aunge na period?

I mean mimba imetoka jana damu imeanza kutoka then imekata ghafla usikute bado ipo na mwisho ni mtazaa mtoto hana kiungo.

PS: Mimi siyo daktari lakini.

PPS: Nchi yetu inasapoti uzazi wa mpango.
Upo sahihi mimba huwa ikiwa kubwa ndo utavuja mda mrefu, hapo haujatoa mimba apo maximum angevuja ata siku 6 mpaka 14 ndo ingekuwa imetoka.

Misoprostol huwa ina tabia ya kutoa mimba nusu ( Incomplete abortion) au yote mara moja ikatoka na ikiwa incomplete abortion ndo matatizo sasa huanza hapa sasa,

1. Mimba inaweza kuendelea kukua ata kama alitoka damu chache.

2. Inaweza kuwa damu haivuji kwa sababu njia haijafunguka na hii ndo hatari anaweza akapata infection za bacteria na hii huwa wanasafishwa wakifika hospitali.

NB, sio mimba zote huwa zinatoka kwa misoprostol ya 200mcg, ata ukimeza 100, ambao huona hawataki kuvuja mda mrefu huwa wanaenda kwa doctar anavuta chap dk hiyo hiyo anavuja na kusafishwa.


Usije ukampa tena miso mimba ikifika miez 5 atazaa au abortion mtoto anapumua mda huo huo ndo utaishia kwa IGP SIRO maana mtamnyonga ili afe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom