TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Alichokusudia kuwaeleza wana JF hapa jukwaani, Ndugu na mtanzania mwenzetu Pascal ni hicho hapo kwenye nukuu; ukubali ama ukatae hicho ndicho hasa alikusudia..... Hata kama Zitto ni mkweli na hayo ni maduhuli na sio gawio, ...
====
Kwa kifupi ana muunga mkono Z.Z.K (Ruyagwa).