Je, Mbeya kuna hotel za kuwatosha wageni wa Nane Nane 2023?

Madumbikaya

JF-Expert Member
Jun 6, 2018
638
1,902
Wakuu mara ya mwisho nilifika mkoani Mbeya mwaka 2017 ,Sikuona hotel nzuri za kuweza kuwabeba waheshimiwa na mabalozi ,Na kabla ya hapo nimeishi hapo Mbeya miaka mitano

Sijawahi kuona Mbeya ghorofa lenye floor zaidi ya kumi? Wakati huo story zilikuwa Mbeya ni volcanic area na kuna tectonic nyingi saana yaani matetemeko na mitikisiko ndio chanzo cha Mbeya kutokuwa na Majengo marefu,Sababu hizo ni zile za miaka ya 2000 mpaka 2009


Serikali imehamia huko Mbeya yaani mawaziri,Makatibu ,Wakuu wa mikoa na wilaya Jumlisha na Taasisi ya Rais mwenyewe ipo huko Mbeya kwenye maonyesho ya nane nane

Kabla ya ujio wa hao wageni kuna wakurugenzi wa taasisi mbalimbali pamoja na wafanyakazi wao wamepiga kambi huko Mbeya zaidi ya week mbili sasa

Swali langu,Je Mbeya kuna hotel za kuhimili na zenye hadhi ya kufikia mabalozi ?Na Je hizo hotel zipo ngapi?

Wenye picha wa hizo hotel mtusaidie tafadhali
 
Wakuu mara ya mwisho nilifika mkoani Mbeya mwaka 2017 ,Sikuona hotel nzuri za kuweza kuwabeba waheshimiwa na mabalozi na kabla ya hapo nimeishi hapo Mbeya miaka mitano

Serikali imehamia huko Mbeya yaani Mawaziri, Makatibu, Wakuu wa mikoa na wilaya Jumlisha na Taasisi ya Rais mwenyewe ipo huko Mbeya kwenye Maonyesho ya Nane Nane

Kabla ya ujio wa hao wageni kuna wakurugenzi wa taasisi mbalimbali pamoja na wafanyakazi wao wamepiga kambi huko Mbeya zaidi ya week mbili sasa

Swali langu, Je Mbeya kuna hotel za kuhimili na zenye hadhi ya kufikia mabalozi? Na Je hizo hotel zipo ngapi?

Wenye picha wa hizo hotel mtusaidie tafadhali
Ndege na V8 zitatumika ipasavyo kurejea Dom kupitia Dar
 
Mbeya sourthern highland hotel, gr hote kabwe na soweto, george town hotel, mdope, hill view, utengule hotel, usungilo, tugimbe, desderia, kwa uchache hizo unataka zingine zipi zaidi hela yako tu
Mbeya ndo kitovu cha utalii Kwa sasa
 
Wakuu mara ya mwisho nilifika mkoani Mbeya mwaka 2017 ,Sikuona hotel nzuri za kuweza kuwabeba waheshimiwa na mabalozi ,Na kabla ya hapo nimeishi hapo Mbeya miaka mitano

Sijawahi kuona Mbeya ghorofa lenye floor zaidi ya kumi? Wakati huo story zilikuwa Mbeya ni volcanic area na kuna tectonic nyingi saana yaani matetemeko na mitikisiko ndio chanzo cha Mbeya kutokuwa na Majengo marefu,Sababu hizo ni zile za miaka ya 2000 mpaka 2009


Serikali imehamia huko Mbeya yaani mawaziri,Makatibu ,Wakuu wa mikoa na wilaya Jumlisha na Taasisi ya Rais mwenyewe ipo huko Mbeya kwenye maonyesho ya nane nane

Kabla ya ujio wa hao wageni kuna wakurugenzi wa taasisi mbalimbali pamoja na wafanyakazi wao wamepiga kambi huko Mbeya zaidi ya week mbili sasa

Swali langu,Je Mbeya kuna hotel za kuhimili na zenye hadhi ya kufikia mabalozi ?Na Je hizo hotel zipo ngapi?

Wenye picha wa hizo hotel mtusaidie tafadhali
Wageni wote wana hadhi ya MWIBOMA.

Nakukumbusha tu sabasaba ya kwanza ilifanyika Mbeya
 

Attachments

  • Safari yetu Mbeya.m4a
    1.1 MB · Views: 2
Zipi? au wewe unasema guest

Taarifa zaidi ingia google
Screenshot_20230808_134557_Google.jpg
 
Wakuu mara ya mwisho nilifika mkoani Mbeya mwaka 2017 ,Sikuona hotel nzuri za kuweza kuwabeba waheshimiwa na mabalozi ,Na kabla ya hapo nimeishi hapo Mbeya miaka mitano

Sijawahi kuona Mbeya ghorofa lenye floor zaidi ya kumi? Wakati huo story zilikuwa Mbeya ni volcanic area na kuna tectonic nyingi saana yaani matetemeko na mitikisiko ndio chanzo cha Mbeya kutokuwa na Majengo marefu,Sababu hizo ni zile za miaka ya 2000 mpaka 2009


Serikali imehamia huko Mbeya yaani mawaziri,Makatibu ,Wakuu wa mikoa na wilaya Jumlisha na Taasisi ya Rais mwenyewe ipo huko Mbeya kwenye maonyesho ya nane nane

Kabla ya ujio wa hao wageni kuna wakurugenzi wa taasisi mbalimbali pamoja na wafanyakazi wao wamepiga kambi huko Mbeya zaidi ya week mbili sasa

Swali langu,Je Mbeya kuna hotel za kuhimili na zenye hadhi ya kufikia mabalozi ?Na Je hizo hotel zipo ngapi?

Wenye picha wa hizo hotel mtusaidie tafadhali
Kwani Nanenane imeanza kufanyika mwaka huu Mbeya?miaka yote walikuwa wanalala kwa Balozi?
 
Mbeya sourthern highland hotel, gr hote kabwe na soweto, george town hotel, mdope, hill view, utengule hotel, usungilo, tugimbe, desderia, kwa uchache hizo unataka zingine zipi zaidi hela yako tu
Achana na uyo Kilaza,sasa miaka yote walikuwa wanalala kwa Balozi?
Alafu anasema kakaa miaka mitano Mbeya!!!
 
Wakuu mara ya mwisho nilifika mkoani Mbeya mwaka 2017 ,Sikuona hotel nzuri za kuweza kuwabeba waheshimiwa na mabalozi ,Na kabla ya hapo nimeishi hapo Mbeya miaka mitano

Sijawahi kuona Mbeya ghorofa lenye floor zaidi ya kumi? Wakati huo story zilikuwa Mbeya ni volcanic area na kuna tectonic nyingi saana yaani matetemeko na mitikisiko ndio chanzo cha Mbeya kutokuwa na Majengo marefu,Sababu hizo ni zile za miaka ya 2000 mpaka 2009


Serikali imehamia huko Mbeya yaani mawaziri,Makatibu ,Wakuu wa mikoa na wilaya Jumlisha na Taasisi ya Rais mwenyewe ipo huko Mbeya kwenye maonyesho ya nane nane

Kabla ya ujio wa hao wageni kuna wakurugenzi wa taasisi mbalimbali pamoja na wafanyakazi wao wamepiga kambi huko Mbeya zaidi ya week mbili sasa

Swali langu,Je Mbeya kuna hotel za kuhimili na zenye hadhi ya kufikia mabalozi ?Na Je hizo hotel zipo ngapi?

Wenye picha wa hizo hotel mtusaidie tafadhali
kama mkoa mpya simiyu hotel zilikuwepo za kuwaaccomdate wageni hao wa nane miaka kadhaa iliyopita Mbeya zinakosekanaje kwa mfano?
 
Back
Top Bottom