nimekuwa nashangaa kidogo na msanii maarufu wa zi comedy hasa pale anapowaita jinsia flan kama viburudisho( cjui ni coca cola au juice ya miwa) au mimi ndio mshamba tu, nisaidieni,nielimisheni na ikibidi nisameheni buree!...otherwise hawa jamaa wako juu sana,ingawa cku hizi wana allergy na siasa za bongo cjui kwa nini au ndo pesa ilimuuzaga Jesus...jotiiiiii