Je, marehemu Dr. Malecela alikuwa na mahusiano gani na Mange Kimambi?

Mbona ameshawahi kuiandika na kuclarify hilo, wewe kutoiona haimaanishi haipo!

Halafu Mange hajashindwa mirathi bwana, wamegawiwa mali wote. Sources zako mbona hazina facts mama?

Usigubikwe na chuki, najua Mange kachafua wengi mjini hapa tena sometimes kwa kufabricate uongo mbaya sana ila usilipe ubaya kwa ubaya!
Ukitenda ubaya ubaya utakurudia automatically, huo ubaya anao ufanyia wenzie kwa kuwazushia nae unamrudia, malipo ni hapa hapa duniani.

Huyu nilipo muona chizi akijibizana na watu kuhusu baba yake kufanyiwa vitendo vya kifirauni,mtu mwenye akili na anayeheshimu hadhi ya baba yake angekaa kimya kuliko kujibizana na watu. Mitandao ya kijamii imetuzalishia machizi wengi ambao kwa wapuuzi walio wengi wamewapa sifa ya uwanaharakati na siku hizi ana app yake anaendelea kupiga hela kwa kuwachafua wenzake.

App yake inaendelea kuharibu reputation za watu mf yule demu Mina Ally wa habari ile video zilianzia kwenye app yake wakati si kweli. Mange akiongea chochote wale wafuasi wake aka "Da Mange kasema......." wanakichukua kama kilivyo,hawa helewi hata wakijitetea vipi.
 
Huyo Farida na Allen bado wako hai?

Mbona Mange hajawahi kuwapost zaidi ya kuongelea wale wa step mom tua
Yule wa kiume alishampost na akasema amemaliza first degree,alikuwa anamuombea kazi kipindi flani ,ila huyo wa kike ndiyo na mimi nimesoma hapa
 
Ukitenda ubaya ubaya utakurudia automatically, huo ubaya anao ufanyia wenzie kwa kuwazushia nae unamrudia, malipo ni hapa hapa duniani.

Huyu nilipo muona chizi akijibizana na watu kuhusu baba yake kufanyiwa vitendo vya kifirauni,kwenye mwenye akili na anayeheshimu hadhi ya baba yake angekaa kimya kuliko kujibizana na watu. Mitandao ya kijamii imetuzalishia machizi wengi ambao kwa wapuuzi walio wengi wamewapa sifa ya uwanaharakati na siku hizi ana app yake anaendelea kupiga hela kwa kuwachafua wenzake.

App yake inaendelea kuharibu reputation za watu mf yule demu Mina Ally wa habari ile video zilianzia kwenye app yake wakati si kweli. Mange akiongea chochote wale wafuasi wake aka "Da Mange kasema......." wanakichukua kama kilivyo,hawa helewi hata wakijitetea vipi.
Nakubaliana nawe kabisa
 
Mange anapenda high profile

Na hili ndio jibu la kila kitu kuhusu Mange. Anapenda sana high profile. Hapo humsikii akimuelezea mama yake (kafanya mara chache sana sana). Ni kama mtu anayeonaga aibu kumuongelea mama yake mzazi na ndugu zake upande wa mama, maana hawana majina. Muda sana alikazana kumng’ang’ania Dr Mwele kuwa ndio mama yake.

Zikifika hata birthdays za Dr, anaandika weeee. Ifike ya mama yake mzazi, humsikii! Huyu dada huwa ana hii shida sana ya kupenda makuu. Na ni bingwa wa kudanganya danganya kuhusu maisha yake ili aonekane yuko kule juu. Ana utoto sana. Mfano; alipotudanganya nyumba anayoishi kipindi bado yuko na ex-husband Lance, halafu ikaja kubainika ni shared house. Mara ajieleze kuhusu marehemu baba yake alikuwa na hiki na kile, aweke picha hapo baba yake akiwa na JK, mara aeleze alisoma Zimbabwe, etc.. Akitoka hapo amuweke Dr Mwele ndio mama yake. Na marafiki, anapenda wale wenye majinaaa, mfano Mwamvita. Kipindi kile alipoharibu, wakamtema, akadata kweli. Sasa kaanza tena kujirudisha kwa Mwamvita. Yani ni anaujinga ujinga na utoto utoto.
 
Na hili ndio jibu la kila kitu kuhusu Mange. Anapenda sana high profile. Hapo humsikii akimuelezea mama yake (kafanya mara chache sana sana). Ni kama mtu anayeonaga aibu kumuongelea mama yake mzazi na ndugu zake upande wa mama, maana hawana majina. Muda sana alikazana kumng’ang’ania Dr Mwele kuwa ndio mama yake.

Zikifika hata birthdays za Dr, anaandika weeee. Ifike ya mama yake mzazi, humsikii! Huyu dada huwa ana hii shida sana ya kupenda makuu. Na ni bingwa wa kudanganya danganya kuhusu maisha yake ili aonekane yuko kule juu. Ana utoto sana. Mfano; alipotudanganya nyumba anayoishi kipindi bado yuko na ex-husband Lance, halafu ikaja kubainika ni shared house. Mara ajieleze kuhusu marehemu baba yake alikuwa na hiki na kile, aweke picha hapo baba yake akiwa na JK, mara aeleze alisoma Zimbabwe, etc.. Akitoka hapo amuweke Dr Mwele ndio mama yake. Na marafiki, anapenda wale wenye majinaaa, mfano Mwamvita. Kipindi kile alipoharibu, wakamtema, akadata kweli. Sasa kaanza tena kujirudisha kwa Mwamvita. Yani ni anaujinga ujinga na utoto utoto.
Mwamvita alipotembea na baba Bhoke ,bi dada alienda kuchoma gari lake.Kilichomkuta ,qmshukuru Mzee Tibaigana.
 
Na hili ndio jibu la kila kitu kuhusu Mange. Anapenda sana high profile. Hapo humsikii akimuelezea mama yake (kafanya mara chache sana sana). Ni kama mtu anayeonaga aibu kumuongelea mama yake mzazi na ndugu zake upande wa mama, maana hawana majina. Muda sana alikazana kumng’ang’ania Dr Mwele kuwa ndio mama yake.

Zikifika hata birthdays za Dr, anaandika weeee. Ifike ya mama yake mzazi, humsikii! Huyu dada huwa ana hii shida sana ya kupenda makuu. Na ni bingwa wa kudanganya danganya kuhusu maisha yake ili aonekane yuko kule juu. Ana utoto sana. Mfano; alipotudanganya nyumba anayoishi kipindi bado yuko na ex-husband Lance, halafu ikaja kubainika ni shared house. Mara ajieleze kuhusu marehemu baba yake alikuwa na hiki na kile, aweke picha hapo baba yake akiwa na JK, mara aeleze alisoma Zimbabwe, etc.. Akitoka hapo amuweke Dr Mwele ndio mama yake. Na marafiki, anapenda wale wenye majinaaa, mfano Mwamvita. Kipindi kile alipoharibu, wakamtema, akadata kweli. Sasa kaanza tena kujirudisha kwa Mwamvita. Yani ni anaujinga ujinga na utoto utoto.
Lakini si ni kweli Baba yake alikuwa yupo vizuri ki uchumi,na ni kweli pia kasoma Zimbabwe au wewe unakereka akiweka mashauzi yake mitandaoni? Sielewi ulitaka awe anamuwish Mama yake siku ya Birtday wakati alikuwa keshafariki kitambo,na kuna ubaya gani yeye kuwa proud na mtu ambaye kwake alimlea kama anavyodai na hasa katika kipindi kigumu cha maisha yake? Hayo ya kupenda watu high profile pia inategemea na wewe umetokea katika familia ipi? Ukiwa kapuku kama mimi hao High profile utakutana nao wapi kwa mfano
 
Lakini si ni kweli Baba yake alikuwa yupo vizuri ki uchumi,na ni kweli pia kasoma Zimbabwe au wewe unakereka akiweka mashauzi yake mitandaoni? Sielewi ulitaka awe anamuwish Mama yake siku ya Birtday wakati alikuwa keshafariki kitambo,na kuna ubaya gani yeye kuwa proud na mtu ambaye kwake alimlea kama anavyodai na hasa katika kipindi kigumu cha maisha yake? Hayo ya kupenda watu high profile pia inategemea na wewe umetokea katika familia ipi? Ukiwa kapuku kama mimi hao High profile utakutana nao wapi kwa mfano
jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom