Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,620
- 5,863
Habari za hapa wanaJukwaa..
Prof. Mlacha aliyekuwa DVC Udom pia mmiliki wa shule ya Sekondari Alikachenje mamlaka zinamuogopa?
1. Anakwepa kodi
Wafanyakazi wa Alikachenje wanalipwa fedha mkononi badala ya malipo kufanyika kwa njia ya benki. Anafanya hivi ili kukwepa kulipa kodi ... Hawakatwi PAYE huu ni wizi wa hali ya juu sana
2. Hawasilishi michango ya wafanyakazi ktk mifuko ya kijamii.
Wafanyakazi wa Alikachenje michango yao haiwasilishwi ktk mifuko ya kijamii.
3. Makato ya Bodo ya mikopo.
Shule ya Alikachenje ina waalimu wadaiwa wa Bodi ya mikopo..... Kwa ujeuri wa Prof Mlacha kaamua kuwalinda.
4. Kutokuwa na Uongozi wa shule
Tangu mwaka 2015 shule inaendeshwa kisanii.... Haina mkuu wa shule wala bodi ya shule.....Ukiulizwa anasema "The world is to late to stop me"
TRA Same pamoja ofisi ya Afisa Elimu Same wanamuogopa huyu Mzee??
Nawasilisha!
Prof. Mlacha aliyekuwa DVC Udom pia mmiliki wa shule ya Sekondari Alikachenje mamlaka zinamuogopa?
1. Anakwepa kodi
Wafanyakazi wa Alikachenje wanalipwa fedha mkononi badala ya malipo kufanyika kwa njia ya benki. Anafanya hivi ili kukwepa kulipa kodi ... Hawakatwi PAYE huu ni wizi wa hali ya juu sana
2. Hawasilishi michango ya wafanyakazi ktk mifuko ya kijamii.
Wafanyakazi wa Alikachenje michango yao haiwasilishwi ktk mifuko ya kijamii.
3. Makato ya Bodo ya mikopo.
Shule ya Alikachenje ina waalimu wadaiwa wa Bodi ya mikopo..... Kwa ujeuri wa Prof Mlacha kaamua kuwalinda.
4. Kutokuwa na Uongozi wa shule
Tangu mwaka 2015 shule inaendeshwa kisanii.... Haina mkuu wa shule wala bodi ya shule.....Ukiulizwa anasema "The world is to late to stop me"
TRA Same pamoja ofisi ya Afisa Elimu Same wanamuogopa huyu Mzee??
Nawasilisha!
