Je, Mama ni Mungu?

Je, Mama ni Mungu?

ndugu yangu usijisumbue kutafakari km ujui haya yalianzia wap !? na mpka nimefungua uzi ndio uje nimetafakar sikupata majibu

YESU katika biblia tunaambiwa alipoitwa na mama yake kipindi anahubiri meno alisema km ifuatavyo mama na ndugu zangu ni wale wanaolifuata neno la MUNGU

TWENDE CHINI kwanza nikueleze kuna siku nilijitia mjuqji kumsifia mama hoja ilikuwa hv je ni nan anafanya kazi sana ili mtoto azaliwe mm kujiamin nikasema mama jamaa mmoja akaniambia hapa tunazungumzia instrinsic things ma si swala la maumbile nikawa nazozana na uyo jamaa ndio jamaa akawaita wafada fulan akawaambia kuwa uyu anabishana na mm sababu mm na yeye wote ni wanaume mjibuni nyinyi wakaniambia maswala ya sijui umekaa tumboni miezi sita ni swala la maumbile hapa tunabishana mambo ya kisayansi kuna kitu kipo ndan ya mwanaume hicho mdicho kimachobeba whole process ya mimba kutungwa adi mtoto kuzaliwa na mwanaume ndio ana X AND Y mwanamke yy ana X tu
Nashukuru kwa more explanatory kwenye hii hoja nzuri sana

Lakini nasikitika kwa kunizuia nisifikiri zaidi kwa namna yangu ili kupata jibh.

Sidhani kama nashawishika na majibu yako. Ninawaza kupata jibu bado
 
Kama mama ni mungu, basi mjomba ni mama ambae ni mungu
 
Mama ndiye mwenye nguvu pekee ya kuwa shape watoto in postively way or negatively way
Mama atabakia mama hata akifanya baya still ni mama . Pia sio kwamba aogopwe kama Mungu ety akipoyonga usimwambie. Wachaneni makavuu
 
Mama ndiye mwenye nguvu pekee ya kuwa shape watoto in postively way or negatively way
Mama atabakia mama hata akifanya baya still ni mama . Pia sio kwamba aogopwe kama Mungu ety akipoyonga usimwambie. Wachaneni makavuu
sasa kapunyaga unamweleza yeye haelewi ni matusi tu kelele mpaka mtaa wa pili ni mkorofi na ni kisirani unafanyaje mkuu
 
Hivi hizi laana wenzetu wa Magharibi haziwapati?? Maana unakuta mzazi ukizeeka wanakupeleka kwenye vituo vyao maalumu vya kulelea wazee!!!

Nb: Hawa wamama wanaotoa connection na kutembea na vijana wadogo ndiyo wakupe laana???
Mama mchawi akupe laana???
 
HII KAULI "MAMA NI MUNGU WA PILI DUNIANI"

Imepoteza wengi sana... Na ni kijinga, kipumbavu na kishamba...

Mama ni mama...hawezi kuwa Mungu...
 
Watu wanaogopa kufunguka ukweli...lakini wamama hawana tofauti kama wanawake wengine. Drama tupu. Awe mstaarabu, asiwe mstaarabu...mwanamke hakosi vituko.
Mama hata awe na vituko gani hawezi mfanyia vinbwanga mwanae wa kumzaa...nilichojifunza ni kwamba mama hata awe katika hali gani hawezi inyanyapaa damu yake ambaye ndiyo wewe hapo mtoto wake.
Hapo ndio hoja kuwa Mama ni Mungu inapokuja.
 
Mama hata awe na vituko gani hawezi mfanyia vinbwanga mwanae wa kumzaa...nilichojifunza ni kwamba mama hata awe katika hali gani hawezi inyanyapaa damu yake ambaye ndiyo wewe hapo mtoto wake.
Hapo ndio hoja kuwa Mama ni Mungu inapokuja.
True!! Hiyo ni process ya nature kabisa ...lakini nikuulize...kwenye utu! Kama wewe ni mkristo, ndo inakuruhusu uwachukie waislam? Yani uwe na ubaguzi?
 
Mama hata awe na vituko gani hawezi mfanyia vinbwanga mwanae wa kumzaa...nilichojifunza ni kwamba mama hata awe katika hali gani hawezi inyanyapaa damu yake ambaye ndiyo wewe hapo mtoto wake.
Hapo ndio hoja kuwa Mama ni Mungu inapokuja.
Shukuru Mungu

Dunia ni ndogo hii na vimbwanga havijawahi kuisha.

Mama hufanya mambo mengi ya ajabu kwa watoto wao,
Usiombe yakukute
 
M
Mama hata awe na vituko gani hawezi mfanyia vinbwanga mwanae wa kumzaa...nilichojifunza ni kwamba mama hata awe katika hali gani hawezi inyanyapaa damu yake ambaye ndiyo wewe hapo mtoto wake.
Hapo ndio hoja kuwa Mama ni Mungu inapokuja.
Mh shukuru Mungu ikiwa umesalimika na mtihani huu
 
nimesoma comment zote nimegundua kitu k8moja kuna watu wanaona mama zao ni sawa na mama za wenzao km ww ni mfuatiliaji mzur wa habar uwez kuafiki hilo km mama yako ww ni mwema shukuru MUNGU kuna wenzio wanateswa na mama zao za kuwazaa na waati msaada wowote ata mama yke akosee vp watu wanamuona yy ndio mkosaji
 
HII KAULI "MAMA NI MUNGU WA PILI DUNIANI"

Imepoteza wengi sana... Na ni kijinga, kipumbavu na kishamba...

Mama ni mama...hawezi kuwa Mungu...
HII pia NILIWAH KUAMBIWA

MAMA NI MUNGU NAMBA MBILI nilishtuka sana na nilichogundua hizo kauli zipo pande zote za africa ulaya sijasikia kule wana mila zao zengine kabisa
 
Back
Top Bottom