Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
Kutokana na maisha kuwa na mapito mengi, hata watu maarufu katika jamii wanajikuta hatiani. Mfano wanasiasa, wafanyabiashara maarufu, wasanii, wachezaji, machifu nk.
Je, watu hawa wakiwa Mahabusu huku kesi zao zikiendelea, huchanganywa na wafungwa?
Je, wanakula chakula cha gerezani ilihali hawajahukumiwa?
Wanavaaje?
Akiugua je hutibiwa gerezani au huruhusiwa kwenda kupata matibabu mazuri atakapo?
NB: Rejea kwa Godbless Lema, Sabaya, Harbinda Sigh, Mramba, Yona, Rugemalila nk.
Je, watu hawa wakiwa Mahabusu huku kesi zao zikiendelea, huchanganywa na wafungwa?
Je, wanakula chakula cha gerezani ilihali hawajahukumiwa?
Wanavaaje?
Akiugua je hutibiwa gerezani au huruhusiwa kwenda kupata matibabu mazuri atakapo?
NB: Rejea kwa Godbless Lema, Sabaya, Harbinda Sigh, Mramba, Yona, Rugemalila nk.