Wakuu naomba kuuliza je nikweli baadhi ya watumishi wa umma watapandishwa madaraja mwezi huu. Nauliza hivi kwakuwa wapi wanaosema Mhe.Rais atapandisha madaraja mwezi huu kwa watumishi elfu 59 na ushee.... Je nasi waalimu tutabahatika kupanda vyeo.
Hali ni ngumu sana wadau.
Ni mm mwalimu mtiifu Mr. M
Hali ni ngumu sana wadau.
Ni mm mwalimu mtiifu Mr. M