Hakuna mwajiri mwenye huruma iwe serikali au binafsi

swagazetu

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
4,251
1,467
Ili mwajiri aongeze mshahara lazima kwanza atambue hasara atakayoipata kwa kumkosa huyo mwajiriwa baada ya kuona nguvu ya kudaiwa.never expect simpo things.

Hapa Tanzania viongozi tayari wana mentality kwamba watumishi wa umma hawana ujasiri wa kusimama na kudai haki zao.watumishi wamekaa miaka 7 bila nyongeza wa la madaraja kupanda kwa taratibu wa kisheria walikaa kimya,unategemea rais asukumwe na kipi kuongeza mishahara! Nothing.Vyama vya wafanyakazi vyote vimeshakuwa sehemu ya serikali na unafiki kwenye vyama umekitjiri.mfano kiongozi wa CWT ni mtu mwenye interest ya kuwa mbunge kupitia ccm na anategemea hisani ya Mwenyekiti wa chama kupata nafasi hiyo unategemea atakuwa na nguvu gani inayomsukuma kusimamia waalimu kudai haki zao?nosense.

Tucta kama shirikisho ndo usiseme.viongozi wengi pia wa vyama hivi vya wafanyakazi wana matumizi ya hovyo ya pesa za vyama hivyo kuepuka nongwa na kuhatarisha nyadhifa zao wameamua kuwa vipenzi wa viongozi wakuu wa serikali kama vile kusaporti miradi ya serikali ili wasiguswe,je utegemee waitikise serikali?foolish.

Mfano tu,katibu wa chama cha waalimu CWT alitumia vibaya pesa kwa kwenda kuangalia kombe LA dunia ulaya kwa fedha za wanachama,baada ya Takukuru kuanza kushughulikia kashfa hiyo alitangaza akiwa mbeya kuwa cwt watachangia mifiko 500 ya saruji kila mwezi kusapoti miradi ya serikali na skendo mahakamani blabla ndo zinaendelea,hapa waalimu wategemeee nguvu ya kudai chochote?only crazy and numb can trust.
Tatizo kuu LA watumishi kukosa maslahi bora ni udhaifu wa vyama vyao wala siyo serikali.Tunakumbuka Sereka la migomo ya madaktari kipindi cha nyuma na waalimu enzi za mkapa ma jk,serikali ilikuwa inaheshimu mapendekezo yao,CWT chini ya akina Gratian Mkoba ilikuwa tishio na hao ndiyo alama ya aina ya viongozi wa vyama vya wafanyakazi wanaoweza kutimiza maono ya wafanyakazi kama waalimu.

Rais kutokutangaza kiwango cha nyongeza ya mishahara ni wazi hana kile ambacho watumishi wanakitarajia baada ya kukwama kwa miaka 7 na ushee, na kwa sababu anajua hakuna msukumo wa vyama wala watumishi wenyewe,anajua chochote watakachokutana nacho hawana LA kumfanya.

Kuna wanaosema oooh akitaja vitu vitapanda bei! Haya ni mawazo ya kijinga na mfu.Kwani mishahara ni siri tena?je bei zilivyopanda kwa sasa kuna mishahara mipya iliyokuwa imeahidiwa!hakuna.Je wafanyabiashara ni akina nani si ndiyo hao ambao mama kasema wanaenda "Kupiga hesabu". Je tunafahamu kuwa Mabenki huwa ni wa kwanza kujua ongezeko lolote LA mishahara kabla hata ya walengwa wenyewe? Uhayawani.

Kitendo cha watumishi kujifanya sehemu ya serikali na kwa sehemu ya udhalimu hususani kupitia usimamizi wa Upigaji kura,kitendo hiki kinaipa nguvu serikali kuwadharau na kufanya lolote like.

Ombi langu watumishi,Subirini msimamie sensa mpate hizo posho maana serikali inajua ndio vilio vyenu.

Wasalaaam.
 
Kwa andiko lako hili unastahili pongezi tena nyingi. Nyumbu hawajitambui. Ila nafikiri baada ya mshahara wa July kama ongezeko ni kiduchu basi huduma za serikali zitazorota sana.


Naandaa wanangu kupeleka private schools tu hakuna namna
20220318_200503.jpg
 
Rais kutokutangaza kiwango cha nyongeza ya mishahara ni wazi hana kile ambacho watumishi wanakitarajia baada ya kukwama kwa miaka 7 na ushee, na kwa sababu anajua hakuna msukumo wa vyama wala watumishi wenyewe,anajua chochote watakachokutana nacho hawana LA kumfanya.

1 May 2022
Nairobi, Kenya

Mshahara wa chini kabisa sekta ya umma waongezwa kwa asilimia 12


Mshahara Wa Chini Kabisa Sekta Ya Umma Waongezwa Kwa Asilimia 12​

NA SAMMY WAWERU

SERIKALI imetangaza Jumapili nyongeza ya asilimia 12 kwa wanaolipwa mshahara wa chini kabisa katika sekta ya umma.


Tangazo hilo limetolewa na Rais Uhuru Kenyatta katika uwanja wa Nyayo, Nairobi wakati wa sherehe za Leba Dei, Mei 1, 2022.

Kwenye hotuba yake kwa taifa, Rais Kenyatta amesema serikali yake inaelewa changamoto ambazo wafanyakazi wanapitia hususan kutokana na kupanda kwa gharama ya maisha.

“Hayo yanatushawishi kutathmini kiwango cha mshahara wa chini kwa nyongeza ya asilimia 12, kuanzia Mei 1, 2022, yaani leo,” kiongozi wa nchi akatangaza.

Mabadiliko hayo ya malipo hata hivyo yatatekelezwa kwa wafanyakazi walio katika sekta ya umma pekee, walioajiriwa na serikali.

Nyongeza hiyo inaashiria, mfano, anayelipwa mshahara wa Sh50, 000 kwa mwezi, atapata nyongeza ya Sh6, 000.

Hii ina maana kuwa atapata jumla ya Sh56, 000, kabla kuondolewa kwa ushuru wa PAYE, malipo ya mafao ya uzeeni (NSSF), bima ya afya (NHIF) na makato mengine ya serikali.

Katibu Mkuu wa Muungano wa Wafanyakazi Nchini (Cotu) ni Francis Atwoli.

Tangu janga la corona lilipotua nchini Machi 2020, gharama ya maisha imeendelea kupanda, bidhaa muhimu za kimsingi kama vile vyakula vikiandikisha mfumko wa bei.

Mafuta ya petroli yamepanda mara dufu, licha ya mzigo mzito unaozidi kulemea mlipa ushuru.

Kufuatia tangazao la Rais, wachangiaji wa mitandao walielekeza hisia mseto kwenye majukwaa ya mitandao.

“Kwa nini nyongeza hiyo iwafae wafanyakazi wa umma pekee?” Peter Wangodi akaandika katika Faceebok.

Naye Dave Idewa, kupitia mchango wake ametaka kujua wasio na ajira watafaidi vipi?

“Na kwa Wakenya wengi wasio na ajira Mtukufu Rais?” Idewa akasaili.

“Pesa za kupunguza gharama ya mafuta ya petroli na mbolea zilitoka kwanza? Tufahamishwe,” Silver Kipchumba akahoji.

Kwenye hotuba yake kwa taifa, Rais Kenyatta hata hivyo alisifia hatua ambazo serikali ilichukua 2020 na 2021 kuondoa na kupunguza ada na ushuru (VAT) kwa baadhi ya bidhaa muhimu za kimsingi.

“Kwa ground, nyongeza iliyotangazwa nina uhakika haitatekelezwa,” Oscar Ozil Njeru akaandika katika Twitter, naye Okoth wuod Okech akiuliza “Wenye hatuna kazi faida ni gani?”

“Hongera Rais wangu,” @Chizanodo msafiri akapongeza Rais Kenyatta.

@OtienoFelixOtienoz vilevile amesifia nyongeza hiyo
 
Serikali inatakiwa iwape watumishi maslahi makubwa ili kuchochea mzunguko wa fedha utakaopelekea kukua kwa sekta binafsi ambayo ni injini ya uchumi wa taifa lolote lile, kuruhusu watu wachache wale kwa urefu wa kamba ni kulididimiza taifa kiuchumi....
 
Ili mwajiri aongeze mshahara lazima kwanza atambue hasara atakayoipata kwa kumkosa huyo mwajiriwa baada ya kuona nguvu ya kudaiwa.never expect simpo things.

Hapa Tanzania viongozi tayari wana mentality kwamba watumishi wa umma hawana ujasiri wa kusimama na kudai haki zao.watumishi wamekaa miaka 7 bila nyongeza wa la madaraja kupanda kwa taratibu wa kisheria walikaa kimya,unategemea rais asukumwe na kipi kuongeza mishahara! Nothing.Vyama vya wafanyakazi vyote vimeshakuwa sehemu ya serikali na unafiki kwenye vyama umekitjiri.mfano kiongozi wa CWT ni mtu mwenye interest ya kuwa mbunge kupitia ccm na anategemea hisani ya Mwenyekiti wa chama kupata nafasi hiyo unategemea atakuwa na nguvu gani inayomsukuma kusimamia waalimu kudai haki zao?nosense.

Tucta kama shirikisho ndo usiseme.viongozi wengi pia wa vyama hivi vya wafanyakazi wana matumizi ya hovyo ya pesa za vyama hivyo kuepuka nongwa na kuhatarisha nyadhifa zao wameamua kuwa vipenzi wa viongozi wakuu wa serikali kama vile kusaporti miradi ya serikali ili wasiguswe,je utegemee waitikise serikali?foolish.

Mfano tu,katibu wa chama cha waalimu CWT alitumia vibaya pesa kwa kwenda kuangalia kombe LA dunia ulaya kwa fedha za wanachama,baada ya Takukuru kuanza kushughulikia kashfa hiyo alitangaza akiwa mbeya kuwa cwt watachangia mifiko 500 ya saruji kila mwezi kusapoti miradi ya serikali na skendo mahakamani blabla ndo zinaendelea,hapa waalimu wategemeee nguvu ya kudai chochote?only crazy and numb can trust.
Tatizo kuu LA watumishi kukosa maslahi bora ni udhaifu wa vyama vyao wala siyo serikali.Tunakumbuka Sereka la migomo ya madaktari kipindi cha nyuma na waalimu enzi za mkapa ma jk,serikali ilikuwa inaheshimu mapendekezo yao,CWT chini ya akina Gratian Mkoba ilikuwa tishio na hao ndiyo alama ya aina ya viongozi wa vyama vya wafanyakazi wanaoweza kutimiza maono ya wafanyakazi kama waalimu.

Rais kutokutangaza kiwango cha nyongeza ya mishahara ni wazi hana kile ambacho watumishi wanakitarajia baada ya kukwama kwa miaka 7 na ushee, na kwa sababu anajua hakuna msukumo wa vyama wala watumishi wenyewe,anajua chochote watakachokutana nacho hawana LA kumfanya.

Kuna wanaosema oooh akitaja vitu vitapanda bei! Haya ni mawazo ya kijinga na mfu.Kwani mishahara ni siri tena?je bei zilivyopanda kwa sasa kuna mishahara mipya iliyokuwa imeahidiwa!hakuna.Je wafanyabiashara ni akina nani si ndiyo hao ambao mama kasema wanaenda "Kupiga hesabu". Je tunafahamu kuwa Mabenki huwa ni wa kwanza kujua ongezeko lolote LA mishahara kabla hata ya walengwa wenyewe? Uhayawani.

Kitendo cha watumishi kujifanya sehemu ya serikali na kwa sehemu ya udhalimu hususani kupitia usimamizi wa Upigaji kura,kitendo hiki kinaipa nguvu serikali kuwadharau na kufanya lolote like.

Ombi langu watumishi,Subirini msimamie sensa mpate hizo posho maana serikali inajua ndio vilio vyenu.

Wasalaaam.

Naunga mkono hoja kwa 100%.
 
Kama mshahara mdogo waache kazi waende kuwa wafanyabishara afu wakina sisi ambao ni majobless tupo tayari kuajiriwa na serikali kwa malipo kiduchu huku tukifanya kazi kwa maarifa na juhudi za hali ya juu.

Mnaendekeza pesa mbele huku mnakosa ueledi muongezewe mshahara kwa makubwa yapi mnayoyafanya.
 
Ili mwajiri aongeze mshahara lazima kwanza atambue hasara atakayoipata kwa kumkosa huyo mwajiriwa baada ya kuona nguvu ya kudaiwa.never expect simpo things.

Hapa Tanzania viongozi tayari wana mentality kwamba watumishi wa umma hawana ujasiri wa kusimama na kudai haki zao.watumishi wamekaa miaka 7 bila nyongeza wa la madaraja kupanda kwa taratibu wa kisheria walikaa kimya,unategemea rais asukumwe na kipi kuongeza mishahara! Nothing.Vyama vya wafanyakazi vyote vimeshakuwa sehemu ya serikali na unafiki kwenye vyama umekitjiri.mfano kiongozi wa CWT ni mtu mwenye interest ya kuwa mbunge kupitia ccm na anategemea hisani ya Mwenyekiti wa chama kupata nafasi hiyo unategemea atakuwa na nguvu gani inayomsukuma kusimamia waalimu kudai haki zao?nosense.

Tucta kama shirikisho ndo usiseme.viongozi wengi pia wa vyama hivi vya wafanyakazi wana matumizi ya hovyo ya pesa za vyama hivyo kuepuka nongwa na kuhatarisha nyadhifa zao wameamua kuwa vipenzi wa viongozi wakuu wa serikali kama vile kusaporti miradi ya serikali ili wasiguswe,je utegemee waitikise serikali?foolish.

Mfano tu,katibu wa chama cha waalimu CWT alitumia vibaya pesa kwa kwenda kuangalia kombe LA dunia ulaya kwa fedha za wanachama,baada ya Takukuru kuanza kushughulikia kashfa hiyo alitangaza akiwa mbeya kuwa cwt watachangia mifiko 500 ya saruji kila mwezi kusapoti miradi ya serikali na skendo mahakamani blabla ndo zinaendelea,hapa waalimu wategemeee nguvu ya kudai chochote?only crazy and numb can trust.
Tatizo kuu LA watumishi kukosa maslahi bora ni udhaifu wa vyama vyao wala siyo serikali.Tunakumbuka Sereka la migomo ya madaktari kipindi cha nyuma na waalimu enzi za mkapa ma jk,serikali ilikuwa inaheshimu mapendekezo yao,CWT chini ya akina Gratian Mkoba ilikuwa tishio na hao ndiyo alama ya aina ya viongozi wa vyama vya wafanyakazi wanaoweza kutimiza maono ya wafanyakazi kama waalimu.

Rais kutokutangaza kiwango cha nyongeza ya mishahara ni wazi hana kile ambacho watumishi wanakitarajia baada ya kukwama kwa miaka 7 na ushee, na kwa sababu anajua hakuna msukumo wa vyama wala watumishi wenyewe,anajua chochote watakachokutana nacho hawana LA kumfanya.

Kuna wanaosema oooh akitaja vitu vitapanda bei! Haya ni mawazo ya kijinga na mfu.Kwani mishahara ni siri tena?je bei zilivyopanda kwa sasa kuna mishahara mipya iliyokuwa imeahidiwa!hakuna.Je wafanyabiashara ni akina nani si ndiyo hao ambao mama kasema wanaenda "Kupiga hesabu". Je tunafahamu kuwa Mabenki huwa ni wa kwanza kujua ongezeko lolote LA mishahara kabla hata ya walengwa wenyewe? Uhayawani.

Kitendo cha watumishi kujifanya sehemu ya serikali na kwa sehemu ya udhalimu hususani kupitia usimamizi wa Upigaji kura,kitendo hiki kinaipa nguvu serikali kuwadharau na kufanya lolote like.

Ombi langu watumishi,Subirini msimamie sensa mpate hizo posho maana serikali inajua ndio vilio vyenu.

Wasalaaam.
Umeandika Ukweli mtupu kaka, tatizo la msingi tulilo nalo ni viongozi tulio nao Kwenye vyama vyetu vya wafanyakazi. Kama. Ulivyosema mkuu wote wengi Wanatarajia kugombea Ubunge kupitia CCM ni lazima hawa wajikombe kwa serikali na Kwa bahati mbaya kabisa vyama vya wafanya kazi Tanzania vimeshakuwa kama sehemu ya serikali. MFANO Mama Magreth Sita aliwahi kuwa kiongozi mkubwa CWT Ditto Biteko amewahi kuwa mwenyekiti CWT huko Kanda ya ziwa.Bado tunasafari ndegfu.
 
Back
Top Bottom