Je mabati ya msauzi na Vyombo vya plastiki vina madhara kwa binadamu?

Nyamesocho

JF-Expert Member
May 5, 2023
476
1,244
Kuna mabati ya kisasa maarufu kama msauzi ambayo yana rangi mbalimbali ambayo kwa sasa jamii nyingi zinatumia kuezekea nyumba yana athari kwa binadamu?

Kumekuwepo na nadharia kwamba haya mabati huwa yanachuchuka rangi na kupauka na kupoteza upya wake na rangi hiyo huchanganyikana na maji ya mvua ambayo hutumiwa na binadamu kunywa na kupikia ambapo wanadai husababisha ugonjwa wa kansa

Pia wengine wanadai sahani ,bakuli,majagi,na vikombe vya plastiki havipaswi kutumiwa na binadamu kwa kuweka chai,uji au chakula cha moto sana kwamba ni chanzo cha kansa

Wataalamu tunaomba uhakika wa hili je rangi za mabati na Vyombo vya plastiki vina madhara kwa binadamu?
 
Hayo ya bati ni maneno ya watu wanaokosa pesa za kununua bati nzuri za Rangi!
Kuna mtu alinambia eti nisiweke tiles home kwangu niweke sakafu ya kawaida kama kwake, nikiweka tiles nitashindwa kupumua usiku!
 
Hayo ya bati ni maneno ya watu wanaokosa pesa za kununua bati nzuri za Rangi!
Kuna mtu alinambia eti nisiweke tiles home kwangu niweke sakafu ya kawaida kama kwake, nikiweka tiles nitashindwa kupumua usiku!
Kupumua tena
 
Kuna mabati ya kisasa maarufu kama msauzi ambayo yana rangi mbalimbali ambayo kwa sasa jamii nyingi zinatumia kuezekea nyumba yana athari kwa binadamu?

Kumekuwepo na nadharia kwamba haya mabati huwa yanachuchuka rangi na kupauka na kupoteza upya wake na rangi hiyo huchanganyikana na maji ya mvua ambayo hutumiwa na binadamu kunywa na kupikia ambapo wanadai husababisha ugonjwa wa kansa

Pia wengine wanadai sahani ,bakuli,majagi,na vikombe vya plastiki havipaswi kutumiwa na binadamu kwa kuweka chai,uji au chakula cha moto sana kwamba ni chanzo cha kansa

Wataalamu tunaomba uhakika wa hili je rangi za mabati na Vyombo vya plastiki vina madhara kwa binadamu?
Mabati ya msouth sina hakika ila plastic ni kweli kuna chemikali inaitwa Bisphenol A kwa kifupi BPA ina effect kwenye mfumo wako wa hormone.
Tumia glass na vybo vy dongo ndivyo vizuri zaidi
 
Back
Top Bottom