Je lini uliokota hela? Na unakumbuka nini?

Kimbori

JF-Expert Member
Feb 21, 2012
5,458
3,209
Kuokota hela kunaambatana na kumbukumbu nyingi.
Niliokota Sh. 10 kwa mara ya kwanza nilienda kununulia pipi 2 za machungwa. Mara ya mwisho niliokota 1,000 mwaka 2006, ilikuwa mara yangu ya kwanza kushika niti ya 1,000 mpya.
 
ninachokumbuka juzi niliona mia 2 kigamboni nikaacha kuiokota
 
Back
Top Bottom