Bugsy
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 225
- 304
Habari za Jioni wakuu?
Ki sayansi inasemekana ya kwamba Jua, ni moja wapo ya nyota katika Galaxy universe system..
Hivyo Basi jua/nyota yeyote ina Solar System yaani, kila nyota/jua lina sayari zake mfano dunia hii tunayo ishi sisi binadamu na wanyama tofauti...
Na Kama tunavyo fahamu au kuona usiku angani Kuna nyota nyingi Sana, na kila nyota Ina sayari zake....
Sasa swali langu Ni hivi, je Kuna uwezekano wa kuepo na masayari yenye mandhari Kama yetu katka hayo kila majua/nyota nyengine, Sayari yenye mandhari yenye uwezo wa kussaport life kwa mimea na viumbe wengine ambao hatuwajui eg. Aliens huko kwenye solar system zingine?
By Bugsy the Wise Guy
Ki sayansi inasemekana ya kwamba Jua, ni moja wapo ya nyota katika Galaxy universe system..
Hivyo Basi jua/nyota yeyote ina Solar System yaani, kila nyota/jua lina sayari zake mfano dunia hii tunayo ishi sisi binadamu na wanyama tofauti...
Na Kama tunavyo fahamu au kuona usiku angani Kuna nyota nyingi Sana, na kila nyota Ina sayari zake....
Sasa swali langu Ni hivi, je Kuna uwezekano wa kuepo na masayari yenye mandhari Kama yetu katka hayo kila majua/nyota nyengine, Sayari yenye mandhari yenye uwezo wa kussaport life kwa mimea na viumbe wengine ambao hatuwajui eg. Aliens huko kwenye solar system zingine?
By Bugsy the Wise Guy