Je kwa nini ndoa za siku hizi hazidumu?

feminism...wanawake wanata kuwa ka wnaume na wanaume wanakuwa ka wanawake...no one want to play role(men became men n women become women) naongelea vijana wa siku hizi
 
Tyta hata ww waweza kuwa na majibu au idea! Tueleze unadhani nn tatizo juu ya hili.
naamini Tyta kumwita kungwi lara 1 hajakosea, yeye anajua zaidi, ila kitu kimoja cha msingi, ndoa inahitaji uvumilivu, ukikosekana huo basi hapo ni utata tupu....
 
Last edited by a moderator:
1. Adultery
2. Abuse: Physical, Verbal, Emotional,
3. No Communication
4. No Trust
5. No Honesty
6. No Commitment
7. Money Issues

Kabisa!
Zamani hayo yalikua yanavumilika na kama huwezi kuvumilia unamuua mwenzio kimyakimya. Ila kwa sasa kuliko kuuana bora tu kuachana kila mmoja afanye yake.
 
Wakuu,

Jamani nimejaribu kufanya tathmini ndogo sana ila nimegundua ndo nyingi siku hizi hazidumu kwa nini? nimegundua sababu kubwa inayofanya ndoa kutodumu kwa muda mrefu je, wewe umegundua?

Actually mimi naichukulia very positive, zamani kulikuwa na misingi ya ndoa ambayo ni tofauti na mapenzi, wake kwa waume walipenda kusifiwa kwa kukaa muda mrefu kwenye ndoa so walikuwa wanavumilia hata machungu yawe vipi lakini siku hizi wanawake tumeelimika, wanaume they dont give a damn sijui they are married or divorced, <hapochacha> kama hakuna mapenzi hakuna ndoa ukinicheat nakusamehe ukirudi imetokaa hiyo nacofirm hakuna kitu naanza mbele kusaka mapenzi LOL...<bittertruth>

Zamani the main principle ya mahusiano ya ndoa na ya mapenzi ilikuwa ni "When something is broken should be fixed".........now days......main principle ni "When something is broken throw it away and get a new one right away".

Kwa misingi hii basi ni kwamba zamani ukishalianzisha na mtu hata umkute kitandani namchepuko hata alete watoto kutoka michepuko.........ndoa haivunjiki hata kidogo..........balaa siku hizi..........mchepuko ukikosea ukatuma text beiby akaiona......uhusiano ni kushiney.........
..so if you want to last long in a relationship long enough to grow old together then try not to act like everyone should be perfect around you..........!
 
Mkuu mimi nafikili kukurupuka kunachangia sana, watu hatuchunguzani vizuri unajua ukisha kubali kuingia katika ndoa unauhakika kuwa unaweza kubeba mapungufu ya mwenza wako, pia kwa upande wa kinadada mtu akishafikisha umri furani anaona ohoooo jahazi ndio linapiga honi ivyo kwa iyo yoyote atakayekuja kma unavyojua mapenzi ya mwanzo yananguvu apo sasa mdada anakomalia ndoa akishaingia jamaa anatoa makucha yake yote, apo sasa utasikia uyu simuwezi ndoa basi kwani mimi dio wa kwanza kuachika tunazidi kuongeza idadi ya uathilika wa ndoa. KUKURUPUKA NI TATIZO.
Habari zenu wana MMU!
Naomba tusaidiane juu ya hili jmn. Kwann ndoa za siku hizi hazidumu? Ni kukurupuka au ulimbukeni jmn? Ndoa hata mwaka hazimalizi?
Naomba wenye productive ideas wakaribie tuwekane sawa juu ya hili.
Karibuni.
 
mitazamo tofauti ndio inapelekea hayo,,,, kila mmoja anafikiria ya kwake....no trust at all....men hatuaminiki hata ume ndo sehemu ya tako lake kila mahali awe na wewe.... but hatokuamia,,,
 
  • lack of real commitment &
  • kutokusameho na kuachilia

haya yakikaa poa mengine yote yakaa vizuri automatically
 
Ndoa za Siku hizi hazidumu sababu wadada mnajlahsisha sana kwa wanaume na pia hamheshimu ndoa za wenzenu.
 
Actually mimi naichukulia very positive, zamani kulikuwa na misingi ya ndoa ambayo ni tofauti na mapenzi, wake kwa waume walipenda kusifiwa kwa kukaa muda mrefu kwenye ndoa so walikuwa wanavumilia hata machungu yawe vipi lakini siku hizi wanawake tumeelimika, wanaume they dont give a damn sijui they are married or divorced, <hapochacha> kama hakuna mapenzi hakuna ndoa ukinicheat nakusamehe ukirudi imetokaa hiyo nacofirm hakuna kitu naanza mbele kusaka mapenzi LOL...<bittertruth>
Eti wanawake mmeelimika...!! Kutohimili mikiki ya ndoa ndo useme mmeelimika...!!??? Kweli ndo maana hazidumu
 
Tatizo wanandoa wa siku hizi wanaanza kuoana kablavya kufunga ndoa.

Wanamkaribisha Ibilisi kwa mikono miwili awatawale kabla ya ndoa, kisha wanamfukuza baada ya kufunga ndoa. Thubutuuuu, unadhani anapenda kufukuzwa, lazima akuharibie...

hii ni kiimani zaidi.
 
Sababu ni nyingi natupia moja michepuko imekuwa inagundulika kirahisi kutokana na kukuwa kwa sayansi na teknolojia
 
Msingi wa ndoa ni MUNGU,tunapaswa kumshirikisha yeye kwanza kabla ya yote pia tunatakiwa kuwa wacha MUNGU.Naomba tufuatilie mistari hii michache inaweza tusaidie kujua nini tunapaswa kutenda kwenye ndoa,Mithali 19:14,Mithali 31:10-31,Wakolosai 3:18-19,1Petro 3:1-11.Wanaume twapaswa kumuomba Sana MUNGU atujalie hekima ya kuweza kuishi na wake zetu,tuwapende na watuheshimu.
 
Mume mwema anatokea kwenye ATM ya bank yoyote na awe amejisajili na Airtel money, Tigo Pesa au M-Pesa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom