Je, kutoa takwimu za watu waliokufa kwa matatizo ya kupumua wakati wewe siyo Waziri wa afya inaruhusiwa kisheria?

Kwa nidhamu ya utawala na usimamizi wa mambo huu ni utovu wa adabu. Waaofanya hivi kwa haki kabisa wanatakiwa kuadhibiwa.

Watu ifikie kipindi wawe wanavaa hivi viatu, na mfano mwepesi wewe kama unafamilia halafu atokee mtu katika familia aisemee mee tu familia yako bila utaratibu maalumu, utajisikiaje au utafanyaje ?

Watu sijui huu ujinga wanautoa wapi ? Waache kuleta harakati kwenye maslahi ya wengi, wapeleke harakati zao katika majumba yao waone kama zitaleta natija.
Adhabu hutolewa kwa kufuata vifungu vya sheria, hapo mtatumia kifungu gani cha sheria?
 
Adhamu hutolewa kwa kufuata vifungu vya sheria, hapo mtatumia kifungu gani cha sheria?
Ungeelewa nichokiandika usingeuliza swali hili. Nilichokiandika kimeonyesha wazi udhaifu wa sheria zenu, maana yake kinyume chake ni ukweli.

Sasa turudi hapa, unamaanisha sheria zenu zinazotungwa bungeni au sheria zipi ?
 
Kusema ni mtu fulani tu ndiye anaweza kutoa takwimu za ugonjwa au vifo, ni upumbavu.

Mtu yeyote mkuu wa taasisi yeyote ana haki ya kutoa takwimu ya wagonjwa, vifo, ajali. Kwa watu wanaojua uongozi, wanafahamu kuwa jukumu la kwanza ni kiongozi yeyote ni usalama wa watu wake.

Kupiga marufuku ovyo ovyo ni ushamba na ulimbukeni wa madaraka. Marufuku za namna hiyo, watu wazipuuze, na wanaozitoa, wawadharau kama tunavyowadharau wendawazimu. Kuwa waziri au kiongozi mwingine yeyote haina maana umepewa haki kuwaondolea watu wengine utashi na akili.
 
Tanzania imeficha wee ugonjwa wa Covid-19 hadi sasa wanaumbuka. Yaani mimi ndugu yangu amefariki kwa Corona eti nisiseme eti mpaka aseme rais, hii sasa ni zaidi ya udikteta sijui inaweza ikaitwaje.
 
Nauliza tu maana naona kasi ya watu na taasisi za kidini kutoa takwimu za marehemu wa magonjwa ya kupumua imeongezeka.

Waziri wa Katiba na sheria Prof Mwigullu Nchemba alisema wanaoruhusiwa kutoa takwimu ni Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu na waziri wa afya pekee.

Sasa najiuliza hawa wengine akina Padri hawavunji sheria?

Maendeleo hayana vyama!
Ni mmoja wa watunga sheria kwani ,mbona na wewe unahoji.
 
Mpaka umpoteze mtu wako wa karibu ndio akili itakua vizuri kwa sasa huwezi kuelewa
 
Nauliza tu maana naona kasi ya watu na taasisi za kidini kutoa takwimu za marehemu wa magonjwa ya kupumua imeongezeka.

Waziri wa Katiba na sheria Prof Mwigullu Nchemba alisema wanaoruhusiwa kutoa takwimu ni Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu na waziri wa afya pekee.

Sasa najiuliza hawa wengine akina Padri hawavunji sheria?

Maendeleo hayana vyama!
Kwa nini siku hizi neno korona halitajwi badala yake tunasema magonjwa ya kupumua?
 
Sheria za kipumbavu zisipewe nafasi.unapokataa kutoa data za waliombukizwa na wanaokufa kwa covid unawezaje kuwa na strategy ya kuzuia corona.? Tusilete uswahili kwenye science.

CCM inaliangamiza taifa.the time will come mtawajibika.pumbavuuu
 
Nauliza tu maana naona kasi ya watu na taasisi za kidini kutoa takwimu za marehemu wa magonjwa ya kupumua imeongezeka.

Waziri wa Katiba na sheria Prof Mwigullu Nchemba alisema wanaoruhusiwa kutoa takwimu ni Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu na waziri wa afya pekee.

Sasa najiuliza hawa wengine akina Padri hawavunji sheria?

Maendeleo hayana vyama!
Kumbe we mpuuzi sana.
 
Hebu tuwekee hiyo sheria Bwashee na pia utuambie Bunge la awamu ya ngapi lilipitisha hiyo sheria?
Nauliza tu maana naona kasi ya watu na taasisi za kidini kutoa takwimu za marehemu wa magonjwa ya kupumua imeongezeka.


Waziri wa Katiba na sheria Prof Mwigullu Nchemba alisema wanaoruhusiwa kutoa takwimu ni Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu na waziri wa afya pekee.

Sasa najiuliza hawa wengine akina Padri hawavunji sheria?

Maendeleo hayana vyama!
 
Nauliza tu maana naona kasi ya watu na taasisi za kidini kutoa takwimu za marehemu wa magonjwa ya kupumua imeongezeka.

Waziri wa Katiba na sheria Prof Mwigullu Nchemba alisema wanaoruhusiwa kutoa takwimu ni Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu na waziri wa afya pekee.

Sasa najiuliza hawa wengine akina Padri hawavunji sheria?

Maendeleo hayana vyama!
Akina padri?
 
Nauliza tu maana naona kasi ya watu na taasisi za kidini kutoa takwimu za marehemu wa magonjwa ya kupumua imeongezeka.

Waziri wa Katiba na sheria Prof Mwigullu Nchemba alisema wanaoruhusiwa kutoa takwimu ni Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu na waziri wa afya pekee.

Sasa najiuliza hawa wengine akina Padri hawavunji sheria?

Maendeleo hayana vyama!
Ukikaa ukatafakari kwa makini utabaini kwamba ngome ya rome na ukatoliki unanguvu kuliko serikali ya jiwe.
 
Back
Top Bottom