Wapi nimeandika kufikiri Mungu yupo ni tatizo?Vyema,na kufikiri kwamba Mungu yupo sio tatizo au una tatizo iwapo mtu anafikiri hivyo?Mpumbavu hufikiri moyoni kwake kwamba hakuna Mungu(Zab 53:1 na kuendelea)kasome na uwe na amani moyoni mwako
Rutabo iliwahi kuwa Jimbo au Bukoba kuwa Jimbo kuu?Siyo lazima atoke jimbo Kuu la Dar es Salaam. Angalia hata historia ya Cardinal Laurean Rugambwa.
1943 -Upadirisho
1952 - Vicar General
1953- 1960 Askofu Jimbo la Rutabo
1960- 1968 Askofu Mkuu/ Cardinal wa Jimbo Kuu la Bukoba
1968- 1992 Askofu Mkuu wa Jimbo la Dar es Salaam
Kwa hiyo siyo lazima Cardinal atoke Dar es Salaam
Judethadeus Ruwa'ichi sio Kardinali - ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam.
Hata hivyo, Kanisa Katoliki lina mifumo thabiti sana ya kiuongozi.
Ndio maana sio Jambo la kushangaza kusikia Jimbo fulani halina Askofu au Askofu Mkuu hata kwa zaidi ya miaka minne, na kila kitu kikaenda sawa sawia.
Hili ndio Kanisa pekee liliochwa na Mungu nafsi ya pili - Kanisa moja, Takatifu, Katoliki na la Mitume.
Amekwambia anahitaji kupumzika ?Sawa
Ndio tunasema astaafu ili apate muda wa kupumzka
MABEBERU ndio wanatuchagulia viongozi?
Mbona mkulu kila siku anatuaminisha mabeberu ndio wametuletea umaskini na hawatupendi alafu na yeye anachaguliwa mtu wa kumwongoza na anamtumikia?
Shikamoo mabeberu,
shikamoo wazungu;
shikamoo beberu
Hata Appendix ni upuasuaji MkubwaSikuwepo
Ila upasuaji mkubwa sio lazima uwe daktari
Na ndio maana Kanisa Katoliki linabaki kuwa Kanisa pekee lililo takatifu na ambalo limeachwa na huongozwa na Mwenyezi Mungu, kwasababu hatuabudu sanamu kama Makanisa mengine.KANISA lililoachwa na Mungu Haliwezi kuabudu Sanamu.na kuruhusu Mwanadam achukue Nafasi Ya Mungu.. Unamwitaje Mwanadamu mwenzako BABA MTAKATIFU??
Mkuu sana.KANISA lililoachwa na Mungu Haliwezi kuabudu Sanamu.na kuruhusu Mwanadam achukue Nafasi Ya Mungu.. Unamwitaje Mwanadamu mwenzako BABA MTAKATIFU??
Mkatekumeni ni yule ambaye ameomba rasmi kupokelewa na Kanisa yaani kubatizwa na ubatizo wa Kanisa Katoliki.Si vyema kuitana wakatekumeni hata km watu wamehamia
For whatever case, naweza nisiwe thorough kwenye jibu langu lakini nadhani kumekuwa na evolution ya RC administrative structure in the church. So yawezekana hivo. Ila nakumbuka alipofariki Cardinal Rugambwa kwanza alizikwa kwenye Parish Cathedral mahali alipoanzia Uaskofu wake. Then kwenye mwishoni mwa miaka ya 2000 ndipo mabaki yake yakawa exhumed na kuzikwa kwenye kanisa la Bukoba Cathedral pale mjini.Rutabo iliwahi kuwa Jimbo au Bukoba kuwa Jimbo kuu?
Point of koreksheniWenye ufahamu wanijulishe huyu Cardinal mpya aliyemrithi Pengo amefanyiwa upasuaji mkubwa sana na itamchukua muda sana kurudi kwenye hali yake kwanini Papa Francis asiteue mwakilishi mwingine kwa kuwa hizi ni kazi za kutumikia watu. Au Pengo arudishwe kwenye hiyo nafasi hadi apatikane mtu mwingine.
Na kumbukumbu zangu zinaniambia kuna Papa aliwahi kuondoka kwenye kiti chake kutokana na Afya haikuwa vizuri
Nimtakie Afya njema apone haraka Mwadhama Ruwa'ichi