Hellooo
Poleni na majukumu ya kila siku, mi mjamzito nilipima ultrasound nikaandikiwa majibu ya tar ya kjjifungua lakin sasa najisikia maumivu kweli kuzunguka kiuno na yanakuja na kupotea. Swali ni kwamba je, kuna uwezekano wa kujifungua kabla ya tarehe kulingana na majibu ya ultrasound?? Msaada wenu
Poleni na majukumu ya kila siku, mi mjamzito nilipima ultrasound nikaandikiwa majibu ya tar ya kjjifungua lakin sasa najisikia maumivu kweli kuzunguka kiuno na yanakuja na kupotea. Swali ni kwamba je, kuna uwezekano wa kujifungua kabla ya tarehe kulingana na majibu ya ultrasound?? Msaada wenu