Senator jr
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 367
- 496
Habarini wakuu..
Nafanya kazi pharmacy nimekuwa nikipokea malalamishi kwa watu wengi .
Wanasema mafua yakimpata mzungu ni rahisi sana kumuua kuliko Mwafrika ..
wakuu je kuna ukweli wowote
na kama upo naomba facts za kisayansi wakuu..
Asanteni
cc
senator jr
Nafanya kazi pharmacy nimekuwa nikipokea malalamishi kwa watu wengi .
Wanasema mafua yakimpata mzungu ni rahisi sana kumuua kuliko Mwafrika ..
wakuu je kuna ukweli wowote
na kama upo naomba facts za kisayansi wakuu..
Asanteni
cc
senator jr