Je kuna ukweli katika hii dhana?

hamna ukweli hata kidogo kwanza utaolewaje wakati ni kicheche?

As i said hii dhana hutumiwa sana na wanaume, kwa wanawake sijui kwa kweli... Sasa huyo huyo mwanaume kicheche anataka mwanamke mtulivu wakati yeye sio mtulivu how comes???
 
mhhhh,matendo yanajenga tabia nayo ni kama ngozi
 
Hapo kny nyekundu tukisema na mwanamke hajaumbwa kwaajili ya mwanaume mmoja unakubali na usijidanganye mkeo ni wako peke yako unakubali???
Hakuna kitu kama hicho! Walahi nakuapia!!

Hivi hata mtaani kwenu huyaoni majogoo na mabeberu???
 

Huu msemo nauunga 100%, manake maisha ni mwendelezo wa hatua moja baada ya nyingine, ukiruka ujue lazima hata uzeeni utairudia hii stage, kwangu mimi ni bora kuwa bazazi katika age ya 20-35, kuliko kuwa bazaz katika age ya 60 years. Si mnakumbuka ya Kapuya?
 

Alaaaaa kumbe!!
 

Mkuu umeongea ukweli mtupu ukitaka kuomkomesha mzinzi haswa kwa kipindi hichi cha digitali mnyime pesa,no money no papuchii


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
haya maswala yanatatiza sana siku hizi.,
 

mimi nilifikiri miaka 20-35 ni miaka ya kujijenga kielimu na kiuchumi. Halafu miaka 40 na kuendelea ni miaka ya kupaa nyoka.
 
charminglady binafsi naona dhana hiyo haina ukweli wowote isipokuwa ni imani ya kujihami tu na inategemea mtu na mtu.

Nijuavyo mimi wengi wenye kuendekeza dhana hiyo wanakuwa hawajitambui, wanakuwa na msukumo(influence) wa/ya mwili ni mkubwa kuliko akili n.k

Nina marafiki wengi ambao historia zao hazikuwa nzuri na mwisho kwenye ndoa wametulia...so kwa mtazamo wangu inategemea. Kama mtu anafanya kiholela huku anajielewa na tena kwa makusudi basi huyo ana matatizo,vinginevyo ana nafasi ya kutulia baadaye kwenye ndoa.

Tabia za wakati wa U-BF/GF katika kumtambua mume/mke bora...chances remain 50/50.
 
Last edited by a moderator:
Hapo penye red uko sahihi.
 
mimi nilifikiri miaka 20-35 ni miaka ya kujijenga kielimu na kiuchumi. Halafu miaka 40 na kuendelea ni miaka ya kupaa nyoka.

Kama upo vizuri, under graduate ni at 23-25yrs, baada ya hapo unaingia mzigoni, elewa ndugu kuwa bazazi haina maana unahonga kila kitu na kutokuwa responsible. Unaweza ukawa baazaz ilihali ukaendesha maisha kwa uzuri ukajijenga kielimu na kiuchumi pia. dhana ya life begins at 40 ilkuwa zamani wakati life span ilipokuwa miaka 70, sasa lifa span ni 49 years. Acha kujipa majukumu yasiyo yako, ponda mali kufa kwaja atiiii!!
 
Nakubaliana na wewe 100%. Maadili yanakwenda hivyo. Discipline inatengenezwa kwa uvumilivu na mipango yenye mwelekeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…