Forrest Gump
JF-Expert Member
- Jul 2, 2021
- 584
- 1,267
Kuna mtu kaniambia kuwa UTI iliokomaa na ya kujirudia (haitabiki kirahisi) inaweza pelekea mwanamke kuto enjoy sex na kukosa hisia nzuri wakati wa penetration.
Je, ni kweli?
Je, ni kweli?
Can can you tell me your experience mkuu. TafadhaliMe naamini kwa 90%, according to my experience..
ExcatlyNi sahihi kwa 100% Lakini si sababu ya pekee, Wanawake wengi wanashiriki sex sababu ya njaa hivyo inawalazimu kushiriki bila wao kupenda na pengine kwa watu ambao hawajawaridhia.
For what i know, mwanamke ukifikia umri fulani ukawa na uhakika wa kipato chako binafsi na umechagua mtu uliyeridhika nae sex inakua very easy and tamu sana.
Kama ni wife nendeni hospital, onaneni na gyno sababu hiyo UTI itakuwa imevuruga sana mfumo mzima wa homone zake, aongee na gyno amwelezee historia ya tatizo.Excatly
Huyu nilie nae ni wife wangu na as far as i know naona anaridhika na mimi
Na amekuwa na uti ambaye anakuwa anaitibu hadi na sindano wapi haiponi.
Kama ni wife nendeni hospital, onaneni na gyno sababu hiyo UTI itakuwa imevuruga sana mfumo mzima wa homone zake, aongee na gyno amwelezee historia ya tatizo.
Matibabu ya UTI hebu nendeni hospital za mikoa mfanye (culture) madaktari nisaidie kumueleza huyu ndugu process hii ili apate majibu sahihi kwa ajili ya kupata matibabu sahihi. Otherwise wapime pia PID na magonjwa kama hayo.
Mshauri pia abadili life style kwa Kubadili baadhi ya vyakuka, kupendelea kunywa maji mengi, maziwa mtindi, kupunguza kula vyakula vyenye hamira (maandazi, mikate) etc. Ila yote kwa yote kutibiwa kwanza, kwa kubadili lifestyle achunguze pads na under panties anazotumia ili kuweza kucontrol UTI isijirudie rudie.
Na wewe ukapime na utibiwe.
unawashauri nini mafirauni??!!maana wao sio kuchamba kwa mbele wanaogelea kbs kwenye kimbaUmesahau awe anajitawaza kwa kurudi nyuma sio mbele maana hao backteria wa uti wapo kwenye ass
Kama ni wife nendeni hospital, onaneni na gyno sababu hiyo UTI itakuwa imevuruga sana mfumo mzima wa homone zake, aongee na gyno amwelezee historia ya tatizo.
Matibabu ya UTI hebu nendeni hospital za mikoa mfanye (culture) madaktari nisaidie kumueleza huyu ndugu process hii ili apate majibu sahihi kwa ajili ya kupata matibabu sahihi. Otherwise wapime pia PID na magonjwa kama hayo.
Mshauri pia abadili life style kwa Kubadili baadhi ya vyakuka, kupendelea kunywa maji mengi, maziwa mtindi, kupunguza kula vyakula vyenye hamira (maandazi, mikate) etc. Ila yote kwa yote kutibiwa kwanza, kwa kubadili lifestyle achunguze pads na under panties anazotumia ili kuweza kucontrol UTI isijirudie rudie.
Na wewe ukapime na utibiwe.
Sure kabisaUmesahau awe anajitawaza kwa kurudi nyuma sio mbele maana hao backteria wa uti wapo kwenye ass
Kama ni wife nendeni hospital, onaneni na gyno sababu hiyo UTI itakuwa imevuruga sana mfumo mzima wa homone zake, aongee na gyno amwelezee historia ya tatizo.
Matibabu ya UTI hebu nendeni hospital za mikoa mfanye (culture) madaktari nisaidie kumueleza huyu ndugu process hii ili apate majibu sahihi kwa ajili ya kupata matibabu sahihi. Otherwise wapime pia PID na magonjwa kama hayo.
Mshauri pia abadili life style kwa Kubadili baadhi ya vyakuka, kupendelea kunywa maji mengi, maziwa mtindi, kupunguza kula vyakula vyenye hamira (maandazi, mikate) etc. Ila yote kwa yote kutibiwa kwanza, kwa kubadili lifestyle achunguze pads na under panties anazotumia ili kuweza kucontrol UTI isijirudie rudie.
Na wewe ukapime na utibiwe.
Umesahau awe anajitawaza kwa kurudi nyuma sio mbele maana hao backteria wa uti wapo kwenye ass
No wonder watu wa aina yako mnatumia majambia kusukuma agenda zenu. Elimu hamna!. Kichwa kimejaa maruwe ruwe.unawashauri nini mafirauni??!!maana wao sio kuchamba kwa mbele wanaogelea kbs kwenye kimba
Yaani majibu unatoa wewe kuhusu ukweli wa mkeo chunguza sana tabia yako ya ngono kama unatoka nje au unakula ndogo kama ilivo otherwise mkeo anadinywa sana UTI ni matendo sio miujiza ikiwemo uchafuExcatly
Huyu nilie nae ni wife wangu na as far as i know naona anaridhika na mimi
Na amekuwa na uti ambaye anakuwa anaitibu hadi na sindano wapi haiponi.
I stand to be corrected.Nimependa haya maeleso hapa,,, nna share the same problem too,,, ila naomba kufahamu culture nini hii????
Sijakujibu sababu nilitamani wakujibu wenye professional yao, mmoja hapo juu ametiririka msome.Nimependa haya maeleso hapa,,, nna share the same problem too,,, ila naomba kufahamu culture nini hii????
Nitafute pm tuongeeNi sahihi kwa 100% Lakini si sababu ya pekee, Wanawake wengi wanashiriki sex sababu ya njaa hivyo inawalazimu kushiriki bila wao kupenda na pengine kwa watu ambao hawajawaridhia.
For what i know, mwanamke ukifikia umri fulani ukawa na uhakika wa kipato chako binafsi na umechagua mtu uliyeridhika nae sex inakua very easy and tamu sana.