Je, kuna specialist wa magonjwa sugu ya kuambukiza?

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Sep 22, 2022
1,145
1,918
Habari wa wakuu!!

Nilikua nahitaji kujua kama kuna Dakitar au specialist au institution inayojihusisha na magonjwa sugu ya kuambukiza!!

Hapa tuondoe yale magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari,moyo pressure na kadharika!!

Magonjwa sugu yanayoambukiza kama UTI sugu, Fungus, magonjwa ya zinaa, covid, mafua nk?

Au kama kuna institution inadeal na hayo magonjwa sugu yaliyoshindikana kupona kwa njia ya matibabu ya kawaida tujuzane.
 
1. Kibongo'to hospital(zamani ilikuwa Ina deal na TB sugu,lakini sikuizi Ina deal na magonjwa yote ya kuambukiza.
2.Pia hospital kubwa nchini, Muhimbili, Bugando,KCMC etc utapa msaada wa kutosha.
 
1. Kibongo'to hospital(zamani ilikuwa Ina deal na TB sugu,lakini sikuizi Ina deal na magonjwa yote ya kuambukiza.
2.Pia hospital kubwa nchini, Muhimbili, Bugando,KCMC etc utapa msaada wa kutosha.

kibong’oto iko wap
 
Habari wa wakuu!!

Nilikua nahitaji kujua kama kuna Dakitar au specialist au institution inayojihusisha na magonjwa sugu ya kuambukiza!!

Hapa tuondoe yale magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari,moyo pressure na kadharika!!

Magonjwa sugu yanayoambukiza kama UTI sugu, Fungus, magonjwa ya zinaa, covid, mafua nk?

Au kama kuna institution inadeal na hayo magonjwa sugu yaliyoshindikana kupona kwa njia ya matibabu ya kawaida tujuzane.
Nitafute Kwa namba 0692089464 utapata suruisho
Habari wa wakuu!!

Nilikua nahitaji kujua kama kuna Dakitar au specialist au institution inayojihusisha na magonjwa sugu ya kuambukiza!!

Hapa tuondoe yale magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari,moyo pressure na kadharika!!

Magonjwa sugu yanayoambukiza kama UTI sugu, Fungus, magonjwa ya zinaa, covid, mafua nk?

Au kama kuna institution inadeal na hayo magonjwa sugu yaliyoshindikana kupona kwa njia ya matibabu ya kawaida tujuzane.
Utapata suruisho
 
Back
Top Bottom