Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 1,145
- 1,918
Habari wa wakuu!!
Nilikua nahitaji kujua kama kuna Dakitar au specialist au institution inayojihusisha na magonjwa sugu ya kuambukiza!!
Hapa tuondoe yale magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari,moyo pressure na kadharika!!
Magonjwa sugu yanayoambukiza kama UTI sugu, Fungus, magonjwa ya zinaa, covid, mafua nk?
Au kama kuna institution inadeal na hayo magonjwa sugu yaliyoshindikana kupona kwa njia ya matibabu ya kawaida tujuzane.
Nilikua nahitaji kujua kama kuna Dakitar au specialist au institution inayojihusisha na magonjwa sugu ya kuambukiza!!
Hapa tuondoe yale magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari,moyo pressure na kadharika!!
Magonjwa sugu yanayoambukiza kama UTI sugu, Fungus, magonjwa ya zinaa, covid, mafua nk?
Au kama kuna institution inadeal na hayo magonjwa sugu yaliyoshindikana kupona kwa njia ya matibabu ya kawaida tujuzane.