Je, kuna tofauti ya research proposal na research report?

Je, kuna tofauti ya research proposal na research report?

LODSI

New Member
Joined
Dec 7, 2021
Posts
4
Reaction score
3
Nisaidien ufafanuzi je kuna utofauti wa reserch proposal na research report....
 
Ndio.

Research proposal inaandikwa kabla ya kufanya research yenyewe na

Ukishafanya research ukakamilisha then unaandika research report.
Sawa msaada zaid plz kwenye research proposal naainisha vitu gan na vitu gan ili supervisor wangu akakague na anipe go ahead ya kufanya research sasa
 
Seriously kabisa unasoma hadi kufikia hatua ya kuandika research. halafu hufahamu maana ya research proposal na research report ?
manake kwa elimu ya kibongo utakuwa upo elimu ya juu ya postgraduate.
Umeshindwa hata kumuuliza huyo supervisor wako au hata Google?
Kweli elimu yetu sio.
Nimekusaidia kwa kukupa link hapo chini isome itakupa mwanga

 
Research proposals ni pendekezo la research ambayo ni Kama idea ambayo haijafanyiwa kazi Ila research report ni taarifa baada ya kufanyia pendekezo lako

Sent from my M2101K7AI using JamiiForums mobile app
 
Hatari hii! Huyo supervisor wako ndiye kilaza kuwa na mtu kama wewe. Si kila mtu anaweza kupata masters au PhD (siyo ugoko wa Msukuma)
 
Sawa msaada zaid plz kwenye research proposal naainisha vitu gan na vitu gan ili supervisor wangu akakague na anipe go ahead ya kufanya research sasa
Kwan hamjafundishwa research methodology?

Research proposal lazma ibebe title ya tatizo unaloenda kulifanyia research (tafta mada/tatizo linalohusiana na field yako), hypothesis ya hicho kitu unachoenda kufanya research, idadi, aina na methods utakazo tumia kupata sample yako, njia utakayo tumia kupata data zako.

NB: References ni lazma na kwenye proposal unatumia future tense
 
Back
Top Bottom