mfate42
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 3,768
- 4,259
Ndugu habarini za mchana, poleni na pilika pilika za kupambana na corona niende kwenye mada..
Je, ni kweli kuna baadhi ya miti ikipandwa maeneo ya nyumbani huleta mikosi, kutokuelewana, na ugomvi wa Mara kwa Mara? Kwa mfano Kuna mti unaitwa Mngazi ambao huwa una matawi yaliochanua mithili ya ngazi ngazi..
Nimeona watu wengi, hata juzi tu jirani yangu ameing'oa miti hiyo na nilipomuuliza kwanini anafanya hivyo akanijibu kuwa miti hiyo sio mizuri,..huleta mikosi na ugomvi kwenye familia..
Je, Hilo swala Lina ukweli wowote?..au ni imani tu za watu, maana mi mwenyewe nimeipanda mingi sana..kwenye eneo langu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, ni kweli kuna baadhi ya miti ikipandwa maeneo ya nyumbani huleta mikosi, kutokuelewana, na ugomvi wa Mara kwa Mara? Kwa mfano Kuna mti unaitwa Mngazi ambao huwa una matawi yaliochanua mithili ya ngazi ngazi..
Nimeona watu wengi, hata juzi tu jirani yangu ameing'oa miti hiyo na nilipomuuliza kwanini anafanya hivyo akanijibu kuwa miti hiyo sio mizuri,..huleta mikosi na ugomvi kwenye familia..
Je, Hilo swala Lina ukweli wowote?..au ni imani tu za watu, maana mi mwenyewe nimeipanda mingi sana..kwenye eneo langu..
Sent using Jamii Forums mobile app