dany_Biggie
Member
- Aug 21, 2013
- 55
- 124
Wadau nawasalimu wote. Naam naamini mko poa!
Ni kama wiki mbili sasa tunapata changamoto ya umeme kukatika na ukikatika unakaa muda kweli mpaka kurudi.
Nipo Arusha, Leo umeme umekatika asubuhi saa nne umerudi saa moja usiku. Swali hivi hawa Tanesco wana mgao unao endelea? Kama yupo mdau anaejua tafadhali atujuze maana pia nilizungumza na mdau aliyeko Kahama, Shinyanga nao pia wanapata changamoto ya umeme kukatika siku nzima na pengine ni mara kwa mara.
Ebu kama kuna mdau anaye weza kutujuza au kuwavuta Tanesco hapa atusaidie.
Ni kama wiki mbili sasa tunapata changamoto ya umeme kukatika na ukikatika unakaa muda kweli mpaka kurudi.
Nipo Arusha, Leo umeme umekatika asubuhi saa nne umerudi saa moja usiku. Swali hivi hawa Tanesco wana mgao unao endelea? Kama yupo mdau anaejua tafadhali atujuze maana pia nilizungumza na mdau aliyeko Kahama, Shinyanga nao pia wanapata changamoto ya umeme kukatika siku nzima na pengine ni mara kwa mara.
Ebu kama kuna mdau anaye weza kutujuza au kuwavuta Tanesco hapa atusaidie.