Mara kwa mara tumekua tukisikia viongozi wetu kuanzia ngazi za chini hadi taifa kwamba wamefanya ziara kuwatembelea wananchi kusikiliza kero zao na kuzipatia ufumbuzi, hebu wenye kumbukumbu ya kero zilizotatuliwa na viongozi waliowatembelea watupie humu..