Je, kuna haja ya Uturuki kurudishwa katika mpango wa 'F-35' wa Marekani?

FRANC THE GREAT

JF-Expert Member
May 27, 2016
5,416
7,828
Habari!

Kwa kipindi kirefu tumekuwa tukifuatilia sakata hili kati ya Marekani na Uturuki kuhusiana na mpango wa ndege za kivita za kizazi cha tano za F-35 ambapo Marekani iliiondoa Uturuki katika mpango huo kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kutokana na Uturuki 'kujisajili' katika mpango wa kijeshi na taifa la Urusi, mpango unaohusisha mifumo ya ulinzi wa anga ya 'S-400' na pengine toleo lijalo la 'S-500'.

Kumekuwa na mjadala mpana sana kuhusiana na hili na pia wamesikika viongozi mbalimbali akiwemo Seneta Lindsey Graham, mtu wa karibu sana huyu wa Rais Donald Trump na ameweka wazi jitihada za kuirudisha Uturuki katika mpango wa F-35 na pia amepinga kuhusu hatua zozote za vikwazo dhidi ya taifa hilo kutokana na manunuzi yake ya mifumo ya anga ya S-400 kutoka Urusi.

Kwa upande wa Idara ya Ulinzi na Usalama ya Marekani kupitia Waziri wa Ulinzi, Mark Esper imeweka wazi kuwa Uturuki itahitajika kujiondoa 'kabisa' katika mpango wa S-400 wa Urusi kabla ya kurejeshwa katika mpango wao wa F-35 na hili ni kutokana na masuala ya kiulinzi na kiusalama ambayo wamekuwa wakiyaweka wazi.

Ikumbukwe kuwa kuondolewa kwa Uturuki katika mpango huo kutapelekea hasara ya takribani Dola Bilioni 9 kutokana na mikataba mbalimbali inayohusisha vifaa mbalimbali vya uundwaji wa ndege hizo.

Hiyo ni kwa kifupi tu lakini tujadili hili;

Je, kuna haja ya Marekani kuirudisha Uturuki katika mpango wake wa ndege za F-35?

Kwanini anadhani kuna haja hiyo?

Na kama ni hapana, pia kwa nini unafikiri hivyo?

Karibu!
 
Habari!

Kwa kipindi kirefu tumekuwa tukifuatilia sakata hili kati ya Marekani na Uturuki kuhusiana na mpango wa ndege za kivita za kizazi cha tano za F-35 ambapo Marekani iliiondoa Uturuki katika mpango huo kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kutokana na Uturuki 'kujisajili' katika mpango wa kijeshi na taifa la Urusi, mpango unaohusisha mifumo ya ulinzi wa anga ya 'S-400' na pengine toleo lijalo la 'S-500'.

Kumekuwa na mjadala mpana sana kuhusiana na hili na pia wamesikika viongozi mbalimbali akiwemo Seneta Lindsey Graham, mtu wa karibu sana huyu wa Rais Donald Trump na ameweka wazi jitihada za kuirudisha Uturuki katika mpango wa F-35 na pia amepinga kuhusu hatua zozote za vikwazo dhidi ya taifa hilo kutokana na manunuzi yake ya mifumo ya anga ya S-400 kutoka Urusi.

Kwa upande wa Idara ya Ulinzi na Usalama ya Marekani kupitia Waziri wa Ulinzi, Mark Esper imeweka wazi kuwa Uturuki itahitajika kujiondoa 'kabisa' katika mpango wa S-400 wa Urusi kabla ya kurejeshwa katika mpango wao wa F-35 na hili ni kutokana na masuala ya kiulinzi na kiusalama ambayo wamekuwa wakiyaweka wazi.

Ikumbukwe kuwa kuondolewa kwa Uturuki katika mpango huo kutapelekea hasara ya takribani Dola Bilioni 9 kutokana na mikataba mbalimbali inayohusisha vifaa mbalimbali vya uundwaji wa ndege hizo.

Hiyo ni kwa kifupi tu lakini tujadili hili;

Je, kuna haja ya Marekani kuirudisha Uturuki katika mpango wake wa ndege za F-35?

Kwanini anadhani kuna haja hiyo?

Na kama ni hapana, pia kwa nini unafikiri hivyo?

Karibu!
Hakuma Haja Mkuu

Kwasababu wakati wanaitoa waliwaza nn na wanataka kuirejesha kwa kuwaza nn pia

Jamaa wanacheki suala zima lamaslahi hakuna mpya hapo
 
Hakuma Haja Mkuu

Kwasababu wakati wanaitoa waliwaza nn na wanataka kuirejesha kwa kuwaza nn pia

Jamaa wanacheki suala zima lamaslahi hakuna mpya hapo
Nashukuru kwa mchango wako lakini labda tujaribu kuangazia pande zote mbili. Yaani Uturuki pamoja na Marekani na kwa jinsi ambavyo mradi huu umekuwa ukizihusisha pande hizi.

Pengine huoni kuwa kutoirudisha Uturuki katika mradi huu wa 'F-35' kunaweza kusiiweke Uturuki katika mazingira mazuri ya Kiushirika hususani kijeshi na kiulinzi ukizingatia kuwa Uturuki ni mwanachama kamili wa jumuiya ya NATO?
 
Turkey hakua na airdefence so anga lake lipo wazi!! Alifanya mazungumzo na US ili auziwe mifumo ya Patriot US akamjibu asiwe na wasi kwa kua ni mwanachama wa NATO atapata ulinzi toka NATO....baada ya kukomaa US akamwahidi kumuuzia ila mpaka mwaka huu hakukua na dalili ya kuuziwa mifumo hiyo.

Turkey akaona kabisa US hana nia ya kumuuzia mifumo hiyo akahisi kama Marekani anamlia tuming siku akizingua amchape kiurahisi.
So Turkey akaopt kununua mifumo yaS-400 toka Rusia kulinda anga lake. Marekani ni mshenzi na ni chanzo cha haya yote.

Rejea tukio la jaribio la mapinduzi Turkey na reaction ya marekani kwenye tukio lile
 
Haina haja ya kumrudisha tena na ikiwezekana na kwenye projects nyingine zote alizopo aondolewa maana Uturuki ni ndumilakuwili,sio partner wa kuaminika tena.
Kwa upande mmoja nakubaliana na wewe,mshirika kamili wa NATO eti kwa vile inasemekana rais Obama kipindi chake aligoma kuiuzia Uturuki akombora ya kutungulia ndege ya Kimarekani ya aina ya Patriot ndio iwe sababu ya yeye kuvuka ng'ambo ya pili na kutaka kununua silaha za adui yenu namba moja!!wala haingii akilini, na sababu kuu waliyoitoa Marekani ni usalama wa hizo ndege kitu ambacho mimi naunga mkono wasiuzie F-35 ikibidi wanunue pia ndege za Kirusi S-35 au Mig 29
 
Kwa upande mmoja nakubaliana na wewe,mshirika kamili wa NATO eti kwa vile inasemekana rais Obama kipindi chake aligoma kuiuzia Uturuki akombora ya kutungulia ndege ya Kimarekani ya aina ya Patriot ndio iwe sababu ya yeye kuvuka ng'ambo ya pili na kutaka kununua silaha za adui yenu namba moja!!wala haingii akilini, na sababu kuu waliyoitoa Marekani ni usalama wa hizo ndege kitu ambacho mimi naunga mkono wasiuzie F-35 ikibidi wanunue pia ndege za Kirusi S-35 au Mig 29
Turkey anahitaji ulinzi na US haaminiki so hataki kumwuzia makombora na mifumo ya Patriots! Ulitaka Turkey afanye uamuzi gani
 
Turkey hakua na airdefence so anga lake lipo wazi!! Alifanya mazungumzo na US ili auziwe mifumo ya Patriot US akamjibu asiwe na wasi kwa kua ni mwanachama wa NATO atapata ulinzi toka NATO....baada ya kukomaa US akamwahidi kumuuzia ila mpaka mwaka huu hakukua na dalili ya kuuziwa mifumo hiyo.

Turkey akaona kabisa US hana nia ya kumuuzia mifumo hiyo akahisi kama Marekani anamlia tuming siku akizingua amchape kiurahisi.
So Turkey akaopt kununua mifumo yaS-400 toka Rusia kulinda anga lake. Marekani ni mshenzi na ni chanzo cha haya yote.

Rejea tukio la jaribio la mapinduzi Turkey na reaction ya marekani kwenye tukio lile
Nashukuru kwa mchango wako na umeangazia masuala mbalimbali ambayo kwa maoni yako ni makosa ambayo yalifanyika na kupelekea haya yanayoendelea hivi sasa.

Sasa basi, tukiachana na hayo yaliyopita na tuangazie wakati tuliopo hivi sasa kuhusu mpango huu wa 'F-35' na mustakabali wa Uturuki kama miongoni mwa mshirika katika mpango huu.

Je, kuna haja ya Uturuki kurejeshwa katika mpango huu tukizingatia maslahi ya pande zote mbili yaani Uturuki na Marekani?
 
Kwa upande mmoja nakubaliana na wewe,mshirika kamili wa NATO eti kwa vile inasemekana rais Obama kipindi chake aligoma kuiuzia Uturuki akombora ya kutungulia ndege ya Kimarekani ya aina ya Patriot ndio iwe sababu ya yeye kuvuka ng'ambo ya pili na kutaka kununua silaha za adui yenu namba moja!!wala haingii akilini, na sababu kuu waliyoitoa Marekani ni usalama wa hizo ndege kitu ambacho mimi naunga mkono wasiuzie F-35 ikibidi wanunue pia ndege za Kirusi S-35 au Mig 29
Kwa kutoiuzia Uturuki ndege hizo kama unavyoonesha kuunga mkono ama kukubaliana na kuondolewa katika mpango huo, ni upi sasa mustakabali wa Uturuki kama mwanachama kamili wa NATO?
 
Kwa kutoiuzia Uturuki ndege hizo kama unavyoonesha kuunga mkono ama kukubaliana na kuondolewa katika mpango huo, ni upi sasa mustakabali wa Uturuki kama mwanachama kamili wa NATO?
Hilo ni suala la raisi wa uturuki menyewe ajitafakari anaipeleka wapi nchi yake badala ya kuwa na maamuzi yanayoleta mtafaruku kwenye NATO hebu tujiulize UK,Ufaransa na Ujerumani wao wanamakombora ya aina gani kwa ulinzi wa anga waende wakanunue huko kama nao wana Patriot warudi kuongea na Trump nao wauziwe.
 
Hilo ni suala la raisi wa uturuki menyewe ajitafakari anaipeleka wapi nchi yake badala ya kuwa na maamuzi yanayoleta mtafaruku kwenye NATO hebu tujiulize UK,Ufaransa na Ujerumani wao wanamakombora ya aina gani kwa ulinzi wa anga waende wakanunue huko kama nao wana Patriot warudi kuongea na Trump nao wauziwe.
Shukrani kwa maoni yako.
 
Haina haja ya kumrudisha tena na ikiwezekana na kwenye projects nyingine zote alizopo aondolewa maana Uturuki ni ndumilakuwili,sio partner wa kuaminika tena.
Turkey hakua na airdefence so anga lake lipo wazi!! Alifanya mazungumzo na US ili auziwe mifumo ya Patriot US akamjibu asiwe na wasi kwa kua ni mwanachama wa NATO atapata ulinzi toka NATO....baada ya kukomaa US akamwahidi kumuuzia ila mpaka mwaka huu hakukua na dalili ya kuuziwa mifumo hiyo.

Turkey akaona kabisa US hana nia ya kumuuzia mifumo hiyo akahisi kama Marekani anamlia tuming siku akizingua amchape kiurahisi.
So Turkey akaopt kununua mifumo yaS-400 toka Rusia kulinda anga lake. Marekani ni mshenzi na ni chanzo cha haya yote.

Rejea tukio la jaribio la mapinduzi Turkey na reaction ya marekani kwenye tukio lile
Hilo ni suala la raisi wa uturuki menyewe ajitafakari anaipeleka wapi nchi yake badala ya kuwa na maamuzi yanayoleta mtafaruku kwenye NATO hebu tujiulize UK,Ufaransa na Ujerumani wao wanamakombora ya aina gani kwa ulinzi wa anga waende wakanunue huko kama nao wana Patriot warudi kuongea na Trump nao wauziwe.
Mashaka-mashaka yanazidi kuongezeka kuhusiana na mustakabali wa Uturuki kama mwanachama wa NATO.

Majority of Germans want Turkey kicked out of NATO: survey
A new survey shows that 58% of Germans want Turkey expelled from NATO over their recent military offensive in Syria. There is even stronger German support for economic sanctions and export bans against the country.

A majority of Germans believe that Turkey should be expelled from NATO over Ankara's military offensive in northern Syria that began in October, according to a survey released on Tuesday.

The YouGov survey, commissioned by news agency dpa, interviewed over 2,000 adult Germans between October 25 and 28 and found that that 58% believe Turkey should be removed from the North Atlantic Treaty Organization (NATO), the intergovernmental military alliance of 29 European and North American countries. Only 18% were against the idea.

A larger proportion of Germans wanted the German government to take a tougher stance against Turkey, with 61% in favor of economic sanctions against President Recep Tayyip Erdogan's country while 69% supported a complete export ban.

 
Back
Top Bottom