BrainOs JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 301 Reaction score 508 Apr 16, 2025 #1 Kufuatia tamko la nchi ya china kupiga marufuku bank zake za ndani kujihusisha na ununuzi wa dollar, je kwa upande wa crypto industry itakuwa na faida au hasara?
Kufuatia tamko la nchi ya china kupiga marufuku bank zake za ndani kujihusisha na ununuzi wa dollar, je kwa upande wa crypto industry itakuwa na faida au hasara?
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 36,515 Reaction score 89,009 Apr 16, 2025 #2 Dollar itashuka
BrainOs JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 301 Reaction score 508 Apr 16, 2025 Thread starter #3 KENZY said: Dollar itashuka Click to expand... Sio kwamba kwa wachina dola itaadimika watu watahamia kwenye usdt kifanya transaction?
KENZY said: Dollar itashuka Click to expand... Sio kwamba kwa wachina dola itaadimika watu watahamia kwenye usdt kifanya transaction?
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 36,515 Reaction score 89,009 Apr 16, 2025 #4 BrainOs said: Sio kwamba kwa wachina dola itaadimika watu watahamia kwenye usdt kifanya transaction? Click to expand... angalia population ya china halafu hiyo population iache kufanya transaction unafikiria nini hapo...?
BrainOs said: Sio kwamba kwa wachina dola itaadimika watu watahamia kwenye usdt kifanya transaction? Click to expand... angalia population ya china halafu hiyo population iache kufanya transaction unafikiria nini hapo...?
BrainOs JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 301 Reaction score 508 Apr 16, 2025 Thread starter #5 KENZY said: angalia population ya china halafu hiyo population iache kufanya transaction unafikiria nini hapo...? Click to expand... Ni kweli kwenye fiat itashuka ila kwenye digital nahisi itapanda
KENZY said: angalia population ya china halafu hiyo population iache kufanya transaction unafikiria nini hapo...? Click to expand... Ni kweli kwenye fiat itashuka ila kwenye digital nahisi itapanda