Habari wana JF. Naomba kujua kama kuna dawa ya kuozesha visiki vya miti baada ya kukata miti shambani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka chumvi ya kutosha juu ya kisiki kilichobaki wewe mwenyewe utashangaaHabari wana JF. Naomba kujua kama kuna dawa ya kuozesha visiki vya miti baada ya kukata miti shambani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia Gramaxone mkuu Majani hayafurukutiSamahani kwa kuingilia uzi wako mm nauliza dawa gani ya kupiga kwenye nyasi ili zikauke baadae nizichome moto
Sent using Jamii Forums mobile app
Puliza round up /super round (glayphoset 400) inakausha na kuozesha mpaka mizizi inakua chengachenga wala hutahitaji kuchoma moto tena.Samahani kwa kuingilia uzi wako mm nauliza dawa gani ya kupiga kwenye nyasi ili zikauke baadae nizichome moto
Sent using Jamii Forums mobile app
Chumvi inatoshaHabari wana JF. Naomba kujua kama kuna dawa ya kuozesha visiki vya miti baada ya kukata miti shambani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu gharama ina gharama kwa kweli karibia elf 60+, kwa lita na hapo unapimiwa maana hua inakua ya ujazo wa lita 5. Itafute jina Inaitwa Tordon (km sijakosea)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ekari 100 ambazo zina miti kibao nitamaliza lini na kwa gharama gani unavyoona?! Hapo itabidi kulikimbia shambaDawa ya kisiki ni kuking'oa kwa jembe au kukiwasha moto
Nadhani solution ni kutafuta pesa na kukodi bulldozer la kusafisha shambaMimi nimeng'oa eka mbili wanang'oa kwa laki mbili au wengine mnahesabiana kila kisiki 700-1000 inategembea ukubwa haina shortcut ng'oa halagu pitisha trekta ilime panda chochote ili yasiote tena! kama eneo ni domant aisee utang'oa kila mwaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu ukipalua magome yamiti ujiandae kukutana na watu wamazingira kuwa unafanya uhalibifuMaji ya betri yana athari za muda mrefu ardhini, achana kabisa kutumia kemikali yoyote kuua kisiki au magugu. Hata chumvi si nzuri ikizidi ardhini
Njia rahisi ni kupalua magome ya mti ubaki nyama tu utakauka taratibu na baadae kubaki kuni, pia kupigilia misumari ya 5" 6" inasaidia kuua mti
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani kwa kuingilia uzi wako mm nauliza dawa gani ya kupiga kwenye nyasi ili zikauke baadae nizichome moto
Sent using Jamii Forums mobile app