Je, kuna dawa ya kunenepa ya hospitalini?

Je, kuna dawa ya kunenepa ya hospitalini?

Shadow7

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
33,724
Reaction score
55,347
Habari JF Doctors na washauri mbalimbali,

Kama ambavyo kichwa cha habari kinavyohusika,
Naulizia kama nitapata dawa ya kunifanya niongezeke mwili baada ya kuugua muda mrefu.

Natumai mtanipatia majibu.
 
Kwa hospital hakuna dawa specific inayoongeza weight ilaa mara nyingi weight gain inakuwa ni kama side effect ya hiyo dawa.. ilaa kuna multivitamin zinazoongeza appetite ya kula na mtaani kuna Herbal zinazoongeza hamu ya kula vizuri zaidi yani utakulaa kama kiwavi maana ili ugain weight lazima ule na sio ule tu ulee vyakula vinavyoonngeza weight kama Nyama...mayai..ugali wali..asubuhi piga supuu yani mbona faster tu unakuwa bonge
 
Kwa hospital hakuna dawa specific inayoongeza weight ilaa mara nyingi weight gain inakuwa ni kama side effect ya hiyo dawa.. ilaa kuna multivitamin zinazoongeza appetite ya kula na mtaani kuna Herbal zinazoongeza hamu ya kula vizuri zaidi yani utakulaa kama kiwavi maana ili ugain weight lazima ule na sio ule tu ulee vyakula vinavyoonngeza weight kama Nyama...mayai..ugali...wali..asubuhi piga supuu yani mbona faster tu unakuwa bonge
Sawa ahsante kwa ushauri
 
Habari JF Doctors na washauri mbalimbali,

Kama ambavyo kichwa cha habari kinavyohusika,
Naulizia kama nitapata dawa ya kunifanya niongezeke mwili baada ya kuugua muda mrefu.

Natumai mtanipatia majibu.
Mm wala sikushauri kunenepa.
Hata kama ulitoka kwenye ugonjwa.
Nitahidi kula matunda kwa wingi mboga za majani.
Mwili utakuja wenyewe huo.
Hata mm wakati nilipokua nasoma nilikua mwembamba sana kiasi ya kuwa najiskia hata vibaya kukaa na watu, mda wote wananiita mbu.
Lakn baada ya kumaliza kusoma sikuamini nimekua Said bonge badala ya said mbu.
Na unene una maradhi, mm saivi natafuta dawa ya kuondoa unene na kutoa kitambi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa niliwahi kumuona anakula hii kitu, mwili wake ulikuwa mdogo akawa anataka aongezeke,alifanikiwa sana na alikuwa anafanya na mazoezi. shida hizo supplements siziamini sana usalama wake, bora ujaribu kuongea na mtaalamu wa afya ya lishe nafikiri wanaitwa nutritionists aangalie hali yako na kukushauri chakula unachohitaji kula na kama kuna nyongeza ya supplement yoyote unayohitaji. Mimi naamini kama unataka kupungua ama kuongezeka sharti utumie njia za asili za chakula kinachokuzunguka.
71m+3BFfr5L._AC_SX425_.jpg
 
Kula zile protein wanazokula wabeba vyuma ila ujitahidi ufanyanye mazoezi maana utakuwa kama simtank
 
Kuna jamaa niliwahi kumuona anakula hii kitu, mwili wake ulikuwa mdogo akawa anataka aongezeke,alifanikiwa sana na alikuwa anafanya na mazoezi. shida hizo supplements siziamini sana usalama wake, bora ujaribu kuongea na mtaalamu wa afya ya lishe nafikiri wanaitwa nutritionists aangalie hali yako na kukushauri chakula unachohitaji kula na kama kuna nyongeza ya supplement yoyote unayohitaji. Mimi naamini kama unataka kupungua ama kuongezeka sharti utumie njia za asili za chakula kinachokuzunguka.
View attachment 1686570
Ahsante kwa ushauri
 
Habari JF Doctors na washauri mbalimbali,

Kama ambavyo kichwa cha habari kinavyohusika,
Naulizia kama nitapata dawa ya kunifanya niongezeke mwili baada ya kuugua muda mrefu.

Natumai mtanipatia majibu.
Kunywa maziwa mengi.. So far, dawa aina ya glibenclamide miligram 1, saa moja kabla ya mlo huweza kumuongezea apettite mhusika hivyo kumuongezea uwezo wa kunenepa (kuota kitambi).
Screenshot_20210126-125253.png
 
Kuna jamaa niliwahi kumuona anakula hii kitu, mwili wake ulikuwa mdogo akawa anataka aongezeke,alifanikiwa sana na alikuwa anafanya na mazoezi. shida hizo supplements siziamini sana usalama wake, bora ujaribu kuongea na mtaalamu wa afya ya lishe nafikiri wanaitwa nutritionists aangalie hali yako na kukushauri chakula unachohitaji kula na kama kuna nyongeza ya supplement yoyote unayohitaji. Mimi naamini kama unataka kupungua ama kuongezeka sharti utumie njia za asili za chakula kinachokuzunguka.
View attachment 1686570
Ama kweli dunia ni kizungumkuti. Wengi wanachukizwa na unene na wengine wanaukimbilia..... Nakushauri uachane na mawazo ya kutafuta dawa za hospitali ili unenepe.
-Jipange na lishe nzuri na ya uhakika.
- Jiepushe na mawazo mengi.
Utapata unene wa afya... Mengine unajitafutia magonjwa ya ulazma.
 
Back
Top Bottom