CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,784
- 6,178
"Nasitisha ajira na nyongeza za mishahara kwa mwezi mmoja au mmoja na nusu HAITAZIDI MIEZI MIWILI"
Wakati huo ilikuwa ni juni 13 hata kama si mtaalamu wa hesabu lakini kwa haraka hadi ikifika sept 13 tayari imetimia miezi mitatu.
Swali langu; je mwezi huu nao watumishi wa uma wataendelea kusomeshwa hiyo namba ama watapewa increments yao kama sheria inavyosema au hapa kazi tu mafao uzeeni?
Na kama sivyo morali na ile ari ya kufanya kazi kwa moyo itakuwepo tena?
Unaruhusiwa kunitukana kama umeona nina kosa lolote.
Wakati huo ilikuwa ni juni 13 hata kama si mtaalamu wa hesabu lakini kwa haraka hadi ikifika sept 13 tayari imetimia miezi mitatu.
Swali langu; je mwezi huu nao watumishi wa uma wataendelea kusomeshwa hiyo namba ama watapewa increments yao kama sheria inavyosema au hapa kazi tu mafao uzeeni?
Na kama sivyo morali na ile ari ya kufanya kazi kwa moyo itakuwepo tena?
Unaruhusiwa kunitukana kama umeona nina kosa lolote.