Uchaguzi 2020 Je, kuna chochote cha maana kilichofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano?

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,495
5,532
Habari za wakati huu

"Maendeleo ni hatua (Development is a Process) ambayo inalenga hasa kuhakikisha kuna kuwa na jamii bora, iliyostaarabika, yenye furaha na inayopata mahitaji yake yote ya msingi kwa haki na usawa na ambayoo inaheshimu sheria inatoa fursa sawa kwa wote na yenye amani utulivu na mshikamano"

Kwa
kuzingatia hi definition ya juu, ambayo sidhani kama kuna ambaye anapinga basi kila jambo linalofanyika lazima lilenge hapo juu kwamba liwapele watu zaidi kuelekea katika jamii yenye sifa kama au zaidi ya niliyozitaja hapo juu.

Kwa sababu Magufuli JPM amekuwa madarakani kwa takribani miaka 5 basi tumpime kwa kutumia vigezo vya msingi kwa yale aliyofanya iwpo yanatimiza vigezo vifuatavyo:
  1. Kujenga jamii bora
  2. Kujenga jamii iliyostaarabika
  3. Kujenga yenye furaha
  4. Kujenga jamii inayopata mahitaji yake yote kwa haki na usawa
  5. Kujenga jamii inayoheshimu sheria
  6. Kujenga jamii inayotoa fursa sawa kwa wote
  7. Kujenga jamii yenye amani na utulivu
  8. Kujenga jamii yenye Mshikamano
Naomba atakayejadili mada hii basi ajitahidi kuzingatia hivyo vipengele na kuonesha kwamba JPM alifanya kitu fulani ambacho kimefanya tuwe na jamii bora/iliyostaarabiak etc.

Kama unaona mada ni ngumu sio saizi yako jitahidi uiache kama ilivyo
 
Watu wameanza kuingiwa na wenda wazimu. Hiyo definition ya wapi. Umeipata wapi. Tukisema unaishi maisha bora tutakuwa tunamaanisha nini.
Bila shaka tutakuwa tunamaanisha una nyumba bora. Gari nzuri. Watoto wako wanasoma shule nzuri. Una income nzuri etc etc. Sasa katika ku miliki vitu hivyo vyote ni ww tu kuamua uanze na kipi.

Hii ni sawa na process ya kubishana kuwa nini kilianza kati ya kuku na yai. Ni wendawazimu uliokomaa.

Kule marekan ambako tunaona ndo kuna maendeleo kuliko sehem yoyote na ambako kila mtu anataman kwenda kuishi hakujawahi kuwa na haki sawa kwa watu wote. Ndo watu walikataa hata ku sain mkataba wa mahakama ya kimataifa, 'ICC.'
Hiyo nchi wala sio ya kwanza wala ya pili kwa kujali haki za binadamu. Lakin kimaendeleo ndo wanaongoza.

Sasa swali la kujiuliza maendeleo kwako ww ni nn. Siwatetei CCM na Magufuli wao. Lakin Tundu Lisu anawatia wendawazimu watu. Ni mpuuzi sana. Anafanya watu wawe na wrong definition ya maendeleo.

Mkienda hivo mtaanza kuuza au kuvunja nyumba zenu na magari yenu na miradi yenu mingine kwa sababu tu et Tundu Lisu kasema kuwa navyo sio maendeleo ni mavitu tu hayana maana. Nadhan tunastahili kuwa matured enough.
 
Maendeleo sio mfumo wa utawala bali matokeo ya ukwasi,tekinologia,elimu,sanaa n.k.
Nazi Germany ilikuwa nchi ilioendelea kuliko nchi yoyote duniani chini ya Dikteta Adolf Hitler.
China imeendelea kuliko Tanzania,japo Tanzania ina vyama vya upinzani na China ina chama kimmoja cha makoministi.Watu wachache sana wanawaamulia mabilioni bila kuuliza wala kupiga kura.
 
Watu wameanza kuingiwa na wenda wazimu. Hiyo definition ya wapi. Umeipata wapi. Tukisema unaishi maisha bora tutakuwa tunamaanisha nini.
Bila shaka tutakuwa tunamaanisha una nyumba bora. Gari nzuri. Watoto wako wanasoma shule nzuri. Una income nzuri etc etc. Sasa katika ku miliki vitu hivyo vyote ni ww tu kuamua uanze na kipi.

Hii ni sawa na process ya kubishana kuwa nini kilianza kati ya kuku na yai. Ni wendawazimu uliokomaa.

Kule marekan ambako tunaona ndo kuna maendeleo kuliko sehem yoyote na ambako kila mtu anataman kwenda kuishi hakujawahi kuwa na haki sawa kwa watu wote. Ndo watu walikataa hata ku sain mkataba wa mahakama ya kimataifa, 'ICC.'
Hiyo nchi wala sio ya kwanza wala ya pili kwa kujali haki za binadamu. Lakin kimaendeleo ndo wanaongoza.

Sasa swali la kujiuliza maendeleo kwako ww ni nn. Siwatetei CCM na Magufuli wao. Lakin Tundu Lisu anawatia wendawazimu watu. Ni mpuuzi sana. Anafanya watu wawe na wrong definition ya maendeleo.

Mkienda hivo mtaanza kuuza au kuvunja nyumba zenu na magari yenu na miradi yenu mingine kwa sababu tu et Tundu Lisu kasema kuwa navyo sio maendeleo ni mavitu tu hayana maana. Nadhan tunastahili kuwa matured enough.
Mkuu,unajua tatizo hujaelewa kitu kidogo sana.Mimi nimechokoza mjadala.Definition ni yangu mimi kwa nilichojifunza kuhusu maendeleo yawe ya binafsi na hata ya taifa.Na katika kujenga hoja yangu usitishwe na kichwa cha mada kwa sababu hakilengi kusema hakuna alichofanya bali ni kuuliza tu
 
Watu wameanza kuingiwa na wenda wazimu. Hiyo definition ya wapi. Umeipata wapi. Tukisema unaishi maisha bora tutakuwa tunamaanisha nini.
Bila shaka tutakuwa tunamaanisha una nyumba bora. Gari nzuri. Watoto wako wanasoma shule nzuri. Una income nzuri etc etc. Sasa katika ku miliki vitu hivyo vyote ni ww tu kuamua uanze na kipi.

Hii ni sawa na process ya kubishana kuwa nini kilianza kati ya kuku na yai. Ni wendawazimu uliokomaa.

Kule marekan ambako tunaona ndo kuna maendeleo kuliko sehem yoyote na ambako kila mtu anataman kwenda kuishi hakujawahi kuwa na haki sawa kwa watu wote. Ndo watu walikataa hata ku sain mkataba wa mahakama ya kimataifa, 'ICC.'
Hiyo nchi wala sio ya kwanza wala ya pili kwa kujali haki za binadamu. Lakin kimaendeleo ndo wanaongoza.

Sasa swali la kujiuliza maendeleo kwako ww ni nn. Siwatetei CCM na Magufuli wao. Lakin Tundu Lisu anawatia wendawazimu watu. Ni mpuuzi sana. Anafanya watu wawe na wrong definition ya maendeleo.

Mkienda hivo mtaanza kuuza au kuvunja nyumba zenu na magari yenu na miradi yenu mingine kwa sababu tu et Tundu Lisu kasema kuwa navyo sio maendeleo ni mavitu tu hayana maana. Nadhan tunastahili kuwa matured enough.
taratibu wala haiitaji hasira mkuu, ivi kuwa na nyumba, gari na pesa ila wanao hawali mlo kamili hawapati matibabu wala hawana nguo kwa maana ya malazi bado utasema wewe una maendeleo halisi
 
Habari za wakati huu

"Maendeleo ni hatua (Development is a Process) ambayo inalenga hasa kuhakikisha kuna kuwa na jamii bora, iliyostaarabika, yenye furaha na inayopata mahitaji yake yote ya msingi kwa haki na usawa na ambayoo inaheshimu sheria inatoa fursa sawa kwa wote na yenye amani utulivu na mshikamano"

Kwa
kuzingatia hi definition ya juu, ambayo sidhani kama kuna ambaye anapinga basi kila jambo linalofanyika lazima lilenge hapo juu kwamba liwapele watu zaidi kuelekea katika jamii yenye sifa kama au zaidi ya niliyozitaja hapo juu.

Kwa sababu Magufuli JPM amekuwa madarakani kwa takribani miaka 5 basi tumpime kwa kutumia vigezo vya msingi kwa yale aliyofanya iwpo yanatimiza vigezo vifuatavyo:
  1. Kujenga jamii bora
  2. Kujenga jamii iliyostaarabika
  3. Kujenga yenye furaha
  4. Kujenga jamii inayopata mahitaji yake yote kwa haki na usawa
  5. Kujenga jamii inayoheshimu sheria
  6. Kujenga jamii inayotoa fursa sawa kwa wote
  7. Kujenga jamii yenye amani na utulivu
  8. Kujenga jamii yenye Mshikamano
Naomba atakayejadili mada hii basi ajitahidi kuzingatia hivyo vipengele na kuonesha kwamba JPM alifanya kitu fulani ambacho kimefanya tuwe na jamii bora/iliyostaarabiak etc.

Kama unaona mada ni ngumu sio saizi yako jitahidi uiache kama ilivyo
Kwa muda wa miaka 5 watu walipumbazwa, kudharauliwa na kutishwa. Hayo ndio makubwa yalivyofanywa na Magufuli na ccm yake.
 
Watu wameanza kuingiwa na wenda wazimu. Hiyo definition ya wapi. Umeipata wapi. Tukisema unaishi maisha bora tutakuwa tunamaanisha nini.
Bila shaka tutakuwa tunamaanisha una nyumba bora. Gari nzuri. Watoto wako wanasoma shule nzuri. Una income nzuri etc etc. Sasa katika ku miliki vitu hivyo vyote ni ww tu kuamua uanze na kipi.

Hii ni sawa na process ya kubishana kuwa nini kilianza kati ya kuku na yai. Ni wendawazimu uliokomaa.

Kule marekan ambako tunaona ndo kuna maendeleo kuliko sehem yoyote na ambako kila mtu anataman kwenda kuishi hakujawahi kuwa na haki sawa kwa watu wote. Ndo watu walikataa hata ku sain mkataba wa mahakama ya kimataifa, 'ICC.'
Hiyo nchi wala sio ya kwanza wala ya pili kwa kujali haki za binadamu. Lakin kimaendeleo ndo wanaongoza.

Sasa swali la kujiuliza maendeleo kwako ww ni nn. Siwatetei CCM na Magufuli wao. Lakin Tundu Lisu anawatia wendawazimu watu. Ni mpuuzi sana. Anafanya watu wawe na wrong definition ya maendeleo.

Mkienda hivo mtaanza kuuza au kuvunja nyumba zenu na magari yenu na miradi yenu mingine kwa sababu tu et Tundu Lisu kasema kuwa navyo sio maendeleo ni mavitu tu hayana maana. Nadhan tunastahili kuwa matured enough.
nyerere alisisitiza juu ya maendeleo ya watu,ukifika mzumbe chuo kikuu motto wao ni "tujifunze kwa maendeleo ya watu"

T.L anakosea wapi? akitaka maendelo ya vitu yawe na matokeo chanya katika maendeleo ya watu.

unanunua ndege ambazo haziingizi faida wala kutegemea kuleta faida ndani ya miaka 5 (rejea ripoti ya mapato na matumizi sio mimi) unaacha ajiri, kupandisha mishahara kwa watu

wapi T.L ametaka watu wauze mali zao eti ni maendeleo ya vitu ama unaleta mifano ya kijiweni.
 
Habari za wakati huu

"Maendeleo ni hatua (Development is a Process) ambayo inalenga hasa kuhakikisha kuna kuwa na jamii bora, iliyostaarabika, yenye furaha na inayopata mahitaji yake yote ya msingi kwa haki na usawa na ambayoo inaheshimu sheria inatoa fursa sawa kwa wote na yenye amani utulivu na mshikamano"

Kwa
kuzingatia hi definition ya juu, ambayo sidhani kama kuna ambaye anapinga basi kila jambo linalofanyika lazima lilenge hapo juu kwamba liwapele watu zaidi kuelekea katika jamii yenye sifa kama au zaidi ya niliyozitaja hapo juu.

Kwa sababu Magufuli JPM amekuwa madarakani kwa takribani miaka 5 basi tumpime kwa kutumia vigezo vya msingi kwa yale aliyofanya iwpo yanatimiza vigezo vifuatavyo:
  1. Kujenga jamii bora
  2. Kujenga jamii iliyostaarabika
  3. Kujenga yenye furaha
  4. Kujenga jamii inayopata mahitaji yake yote kwa haki na usawa
  5. Kujenga jamii inayoheshimu sheria
  6. Kujenga jamii inayotoa fursa sawa kwa wote
  7. Kujenga jamii yenye amani na utulivu
  8. Kujenga jamii yenye Mshikamano
Naomba atakayejadili mada hii basi ajitahidi kuzingatia hivyo vipengele na kuonesha kwamba JPM alifanya kitu fulani ambacho kimefanya tuwe na jamii bora/iliyostaarabiak etc.

Kama unaona mada ni ngumu sio saizi yako jitahidi uiache kama ilivyo
Huu upuuzi uliouandika ukiwa sober?
 
halafu nyie wapumbavu mnatiwa ujinga na kuchukua kaneno kamoja kamoja Kama msahafu au biblia...unalijua azimio la Arusha wewe na vijiji vya ujamaa....watu walikua wanapelekwa maporini kilazima kuanzisha vijiji Hadi wengine walikua wanaliwa na Simba...am sure nyerere angekuepo sasa huyo Tundu la nyuma angekua korokoroni kwa kesi ya uhaini kuahirikiana na mabeberu kuuza nchi
Anyerere alisisitiza juu ya maendeleo ya watu,ukifika mzumbe chuo kikuu motto wao ni "tujifunze kwa maendeleo ya watu"

T.L anakosea wapi? akitaka maendelo ya vitu yawe na matokeo chanya katika maendeleo ya watu.

unanunua ndege ambazo haziingizi faida wala kutegemea kuleta faida ndani ya miaka 5 (rejea ripoti ya mapato na matumizi sio mimi) unaacha ajiri, kupandisha mishahara kwa watu

wapi T.L ametaka watu wauze mali zao eti ni maendeleo ya vitu ama unaleta mifano ya kijiweni.
 
Maendeleo sio mfumo wa utawala bali matokeo ya ukwasi,tekinologia,elimu,sanaa n.k.
Nazi Germany ilikuwa nchi ilioendelea kuliko nchi yoyote duniani chini ya Dikteta Adolf Hitler.
China imeendelea kuliko Tanzania,japo Tanzania ina vyama vya upinzani na China ina chama kimmoja cha makoministi.Watu wachache sana wanawaamulia mabilioni bila kuuliza wala kupiga kura.
Umemaliza mkuu
 
Habari za wakati huu

"Maendeleo ni hatua (Development is a Process) ambayo inalenga hasa kuhakikisha kuna kuwa na jamii bora, iliyostaarabika, yenye furaha na inayopata mahitaji yake yote ya msingi kwa haki na usawa na ambayoo inaheshimu sheria inatoa fursa sawa kwa wote na yenye amani utulivu na mshikamano"

Kwa
kuzingatia hi definition ya juu, ambayo sidhani kama kuna ambaye anapinga basi kila jambo linalofanyika lazima lilenge hapo juu kwamba liwapele watu zaidi kuelekea katika jamii yenye sifa kama au zaidi ya niliyozitaja hapo juu.

Kwa sababu Magufuli JPM amekuwa madarakani kwa takribani miaka 5 basi tumpime kwa kutumia vigezo vya msingi kwa yale aliyofanya iwpo yanatimiza vigezo vifuatavyo:
  1. Kujenga jamii bora
  2. Kujenga jamii iliyostaarabika
  3. Kujenga yenye furaha
  4. Kujenga jamii inayopata mahitaji yake yote kwa haki na usawa
  5. Kujenga jamii inayoheshimu sheria
  6. Kujenga jamii inayotoa fursa sawa kwa wote
  7. Kujenga jamii yenye amani na utulivu
  8. Kujenga jamii yenye Mshikamano
Naomba atakayejadili mada hii basi ajitahidi kuzingatia hivyo vipengele na kuonesha kwamba JPM alifanya kitu fulani ambacho kimefanya tuwe na jamii bora/iliyostaarabiak etc.

Kama unaona mada ni ngumu sio saizi yako jitahidi uiache kama ilivyo
Wamefanya mengi, wameiba😒, wameteka, wamejeruhi, wameua, wamesingizia kesi, wameharibu diplomacy, wameharibu uchumi, mengi sana wamefanya
 
Habari za wakati huu

"Maendeleo ni hatua (Development is a Process) ambayo inalenga hasa kuhakikisha kuna kuwa na jamii bora, iliyostaarabika, yenye furaha na inayopata mahitaji yake yote ya msingi kwa haki na usawa na ambayoo inaheshimu sheria inatoa fursa sawa kwa wote na yenye amani utulivu na mshikamano"

Kwa
kuzingatia hi definition ya juu, ambayo sidhani kama kuna ambaye anapinga basi kila jambo linalofanyika lazima lilenge hapo juu kwamba liwapele watu zaidi kuelekea katika jamii yenye sifa kama au zaidi ya niliyozitaja hapo juu.

Kwa sababu Magufuli JPM amekuwa madarakani kwa takribani miaka 5 basi tumpime kwa kutumia vigezo vya msingi kwa yale aliyofanya iwpo yanatimiza vigezo vifuatavyo:
  1. Kujenga jamii bora
  2. Kujenga jamii iliyostaarabika
  3. Kujenga yenye furaha
  4. Kujenga jamii inayopata mahitaji yake yote kwa haki na usawa
  5. Kujenga jamii inayoheshimu sheria
  6. Kujenga jamii inayotoa fursa sawa kwa wote
  7. Kujenga jamii yenye amani na utulivu
  8. Kujenga jamii yenye Mshikamano
Naomba atakayejadili mada hii basi ajitahidi kuzingatia hivyo vipengele na kuonesha kwamba JPM alifanya kitu fulani ambacho kimefanya tuwe na jamii bora/iliyostaarabiak etc.

Kama unaona mada ni ngumu sio saizi yako jitahidi uiache kama ilivyo
Huyu mrundi sijui kwa nini JK alimuendekeza mpaka akafika 5 Bora. Kwa miaka 5 ameharibu nchi yetu nzuri vibaya sana.

Ameleta chuki ya kinyama, ubaguzi wa kimakabila, mauaji ya vikundi vya watu wasiojulikana. Mbaya kuliko vyote ameleta ufukara kwa Watanzania huku yeye na Makonda wakijipatia utajiri wa kutosha.
 
Tundu
Watu wameanza kuingiwa na wenda wazimu. Hiyo definition ya wapi. Umeipata wapi. Tukisema unaishi maisha bora tutakuwa tunamaanisha nini.
Bila shaka tutakuwa tunamaanisha una nyumba bora. Gari nzuri. Watoto wako wanasoma shule nzuri. Una income nzuri etc etc. Sasa katika ku miliki vitu hivyo vyote ni ww tu kuamua uanze na kipi.

Hii ni sawa na process ya kubishana kuwa nini kilianza kati ya kuku na yai. Ni wendawazimu uliokomaa.

Kule marekan ambako tunaona ndo kuna maendeleo kuliko sehem yoyote na ambako kila mtu anataman kwenda kuishi hakujawahi kuwa na haki sawa kwa watu wote. Ndo watu walikataa hata ku sain mkataba wa mahakama ya kimataifa, 'ICC.'
Hiyo nchi wala sio ya kwanza wala ya pili kwa kujali haki za binadamu. Lakin kimaendeleo ndo wanaongoza.

Sasa swali la kujiuliza maendeleo kwako ww ni nn. Siwatetei CCM na Magufuli wao. Lakin Tundu Lisu anawatia wendawazimu watu. Ni mpuuzi sana. Anafanya watu wawe na wrong definition ya maendeleo.

Mkienda hivo mtaanza kuuza au kuvunja nyumba zenu na magari yenu na miradi yenu mingine kwa sababu tu et Tundu Lisu kasema kuwa navyo sio maendeleo ni mavitu tu hayana maana. Nadhan tunastahili kuwa matured enough.
LISSU unamuona hivyo ulivyomuelezea kwa sababu wewe ni punguani. Punguani ni mtu ambaye ukimponda ponda akawa vumbi kisha ukamuumba tena bado ataendelea kuwa mpumbavu.

Kama huwezi kuelewa Lissu hakuna namna tutakusaidia .
 
456890.jpg
 
  1. Kujenga jamii bora
  2. Kujenga jamii iliyostaarabika
  3. Kujenga yenye furaha
  4. Kujenga jamii inayopata mahitaji yake yote kwa haki na usawa
  5. Kujenga jamii inayoheshimu sheria
  6. Kujenga jamii inayotoa fursa sawa kwa wote
  7. Kujenga jamii yenye amani na utulivu
  1. Kujenga jamii bora. John kaleta shida
  2. Kujenga jamii iliyostaarabika. John mwenyewe anaongea utopolo jukwaani.
  3. Kujenga yenye furaha. Furaha atapewa Furaha tu, mtoto wa dada yake
  4. Kujenga jamii inayopata mahitaji yake yote kwa haki na usawa. Ukata umetamalaki, watu wako choka mbaya.
  5. Kujenga jamii inayoheshimu sheria. Jiwe ndiye mvunja sheria na katiba namba moja. Hafai aondoke.
  6. Kujenga jamii inayotoa fursa sawa kwa wote. John anasema mkinichanganyia siwafichi, msemakweli ni mpenzi wa Mungu sitoleta maji. Anahubiri ubaguzi wa kisiasa
  7. Kujenga jamii yenye amani na utulivu. John anateka, anaua, anapora fedha za watu, anafilisi watu, n.k
  8. Kujenga jamii yenye Mshikamano. Alikataza mtoto wa Bulembo aitwaye Halima (mbunge wa viti maalum) asiendelee kuwa mshikaji wa Zitto. John analeta utengano.
 
nyerere alisisitiza juu ya maendeleo ya watu,ukifika mzumbe chuo kikuu motto wao ni "tujifunze kwa maendeleo ya watu"

T.L anakosea wapi? akitaka maendelo ya vitu yawe na matokeo chanya katika maendeleo ya watu.

unanunua ndege ambazo haziingizi faida wala kutegemea kuleta faida ndani ya miaka 5 (rejea ripoti ya mapato na matumizi sio mimi) unaacha ajiri, kupandisha mishahara kwa watu

wapi T.L ametaka watu wauze mali zao eti ni maendeleo ya vitu ama unaleta mifano ya kijiweni.
Chama cha Mbowe wanafiki Sana. Ilani ya chama hiki 2015,ilikuwa na kununua ndege, barabara, hospitali, elimu bure, kumtoa Babu seya, Sasa Magufuli kafanya yote leo mmekuwa ndumilakuwili. Acheni kulaghai watanzania, nia yenu mbovu tangu kuanzishwa kwa saccos yenu, Oct 28 tuna jambo letu watanzania wote wazalendo.
 
Back
Top Bottom