mi kwa ushauri tu hakuna asie na matatizo na ni vizuri kuanza kuelezana matatizo yenu nyumban badala ya kukimbilia kwa mashemeji ama marafiki ..soln ya ndoa ikokwenu wenyewe m nashukuru hili mamamdidy alilielewa mapema zana so biashara ya kwenda kwa wazazi kukaa kikaoni hakauna hiyo...la muhimu usisubirir kuanza kuomba MUNGU akusaidie ndoa yako mpaka uchapwe kwenye ndoa no anza siku unaagwa kwenye ile ukumbi nakwambia kama uamini kaangalie zawadi ulizopewa na sio wote wanaokushia pale unahsii wanakupa hongera ya kweli wengine washasemea a mikono yao ukingia ndan ya nyumba unajiuiza keleuwii ni huyu kweliii wachaga wakizdiwa tunaita yeleuwiiiiiiiii ni huyuuuuuuuuuu ddeee vviiddii yani dau ,,,