Mwanashheria njaa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,790
- 2,325
Wakuu habari,
Kuna rafiki yangu alikuwa ana shida, ananiambia ameenda kwa Kuhani Mussa huko Kimara ili aombewe.
Basi kufika hapo anaambiwa kumuona huyo mtume Ni Tsh. Laki moja (100,000/=)
Aisee Hawa manabii ni matapeli wakubwa
Kuna rafiki yangu alikuwa ana shida, ananiambia ameenda kwa Kuhani Mussa huko Kimara ili aombewe.
Basi kufika hapo anaambiwa kumuona huyo mtume Ni Tsh. Laki moja (100,000/=)
Aisee Hawa manabii ni matapeli wakubwa