Je, kufeli shule ni kufeli maisha?

Je, kufeli shule ni kufeli maisha?

Ndg jibu la maisha ya mwanadamu analo Mungu,ufeli shule utaishi tu,ufaulu utaishi tu,kama ipo ipo tu utachelewa kupata lakni utapata
 
Kunatofauti ya kuelimika na kusoma mafanikio yanatokana na kile ulichonacho kichwani umekipataje hapo ndio wengi wanashindwa kuchambua shule inaweza ikawa ya kienyeje,au ya mfumo rasimi au ya mtu mwenyewe kujisomea kutoka vyanzo balimbali, kumbuka shule ni maboresho kutoka katika mfumo usio rasimi wa mababu kikubwa hapo unanini kichwani na unakifanyia nini kupata maendeleo
 
Shule sio kuingia darasani tu....
Hata mtoto wa mvuvi akitazama namna ya kuvua hapo anajifunza.

Hata ukikaa kariakoo mwaka mzima lazima utapata ujuzi flani.

Kuna watu wamekariri elimu inapatikana darasani tu.
 
Kwenye maisha kuna kitu kinaitwa mipango na katika mipango kuna mda muafaka wa kuipanga, so watanzania wengi tuliaminishwa tangu tukiwa watoto kwamba bila elimu hakuna maisha bora wakati hio pia watu walitumia mda mrefu wakiwa shule na waoisahau habar ya maisha nje ya shule.
Watu wengi wanashtuka baada ya kumaliza na kufeli form 4, 6 au ku disco chuo, yaan hapo tayar kapoteza mipango na mda pia kunyenyuka na kuwa na maisha bora n ndoto ukifikia hatua hyo.
 
Kwenye maisha kuna kitu kinaitwa mipango na katika mipango kuna mda muafaka wa kuipanga, so watanzania wengi tuliaminishwa tangu tukiwa watoto kwamba bila elimu hakuna maisha bora wakati hio pia watu walitumia mda mrefu wakiwa shule na waoisahau habar ya maisha nje ya shule.
Watu wengi wanashtuka baada ya kumaliza na kufeli form 4, 6 au ku disco chuo, yaan hapo tayar kapoteza mipango na mda pia kunyenyuka na kuwa na maisha bora n ndoto ukifikia hatua hyo.
Ahsante mkuuu
 
Ndg jibu la maisha ya mwanadamu analo Mungu,ufeli shule utaishi tu,ufaulu utaishi tu,kama ipo ipo tu utachelewa kupata lakni utapata
lakini kumbuka juhudi na bidii zako za utafutaji pia zinahitajika,,uwezi fanikiwa kama upo upo yaani aujishugulishi na chochote alafu unasema mungu atanifanikisha wakati wenzako wanapambana na kuzidi kumuomba mungu
 
Back
Top Bottom