Je, kufeli shule ni kufeli maisha?

Je, kufeli shule ni kufeli maisha?

Ukishindwa shule unakuwa na 50% ya kushinda maisha. Wewe utakuwa tofauti na waliofaulu shule wakidhani "real Job" ni ajira ya kuajiriwa na kipokea mshahara mwisho wa mwezi huku ukiwa na matumaini ya kupandishwa cheo.
Anhaaaa ahsante mkuuu
 
Umeona eeeeeeh
let me tell the truth about failure and winner hawa watu wapo pande zote uwe shule hama mtaa swala la kuwin maisha hali husiani kabisa na kufeli shule mfano mzuri ni BILL GATES...... i falled in some subject in exam,but my friend passed in all .Now he is an engineer in microsoft and iam the owner of microsoft......
 
let me tell the truth about failure and winner hawa watu wapo pande zote uwe shule hama mtaa swala la kuwin maisha hali husiani kabisa na kufeli shule mfano mzuri ni BILL GATES...... i falled in some subject in exam,but my friend passed in all .Now he is an engineer in microsoft and iam the owner of microsoft......
Daaaaaah hatat
 
Nimesikia kauli nyingi zikitamka kwamba ukifeli shule ndio umefeli maisha hivi kauli hii unaichambua vip
Nimesikia kauli nyingi zikitamka kwamba ukifeli shule ndio umefeli maisha hivi kauli hii unaichambua vip
Kuna tofauti kubwa sana kati ya maisha na elimu inga kwa sehem fulan vinaingiliana kwa sehemu ndogo sana lakin elimu hii ya darasana si kitu, kitu cha masingi sana tena sana ni uwe na civic education na life skills education ambavyo huna haja ya kuingia darasani maana unajifunza ulimwenguni hapa hapa ,elimu ya darasan ni miongoni mwa chachu za kuendeleza maisha lakin lakin haimaanishi ukiikosa basi na maisha umeshindwa si kweli hata kidogo. Elimu ni jambo pana sana ingawa watu wamekariri ukishasema alimu wana focus kwenye GPA na DIVISIONS TU, kitu ambacho si kweli hata elimu ya ufundi nayo ni elimu ,hata kilimo nayo ni elimu,nk
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya maisha na elimu inga kwa semem fulan vinaingiliana lakin elimu hii ya darasana si kiti cha maingi uwe na civic education na life skills education ambavyo huna haja ya kuingia darasani maana unajifunza ulimwenguni hapa hapa ,elimu ya darasan ni miongoni mwa chachu za kuendeleza maisha lakin lakin haimaanishi ukiikisa basi na maisha umeshindwa si kweli hata kidogo. Elimu ni jambo pana sana ingawa watu wamekalili ukishasema alimu wana focus kwenye GPA na DIVISIONS TU, kitu ambacho si kweli hata elimu ya ufundi nayo ni elimu ,hata kilimo nayo ni elimu,nk
Ahsante mkuu
 
50f5c11175d9829e0e670bd4d9906e2c.jpg
sema usiamn sana
 
Ukifaulu sana kutakupelekea usome sana na ukisoma sana unakua muoga wa maisha pia kadri unavyosoma sana unaoishana na fursa za kutafuta hela.....
 
Back
Top Bottom