HadithiZaRuvuly
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 369
- 114
Nimesikia kauli nyingi zikitamka kwamba ukifeli shule ndio umefeli maisha hivi kauli hii unaichambua vip
KiajeKuna mambo mengi ya kujadili ni kweli lakini hivi vingine acha tuwapishe wenye muda wa kufanya hivyo kwa kweli.
Unamanisha nini sijaelewa hapoKufaulu shule ndio kufeli Maisha
Hpo sasaKwani maisha yana pass & failure?
Tuanzie hapa, MAISHA NI NINI?
Una 0 yaanuna div 0 au umedisko teyali....
yahUna 0 yaan
Naam tupe uelewa huo ndguHapana kufaulu darasani na kwenye maisha ni two different concepts
Hapana. Mbona Eric Shigongo hakusoma lakini ni Mkurugenzi wa Makampuni yake Binafsi?Nimesikia kauli nyingi zikitamka kwamba ukifeli shule ndio umefeli maisha hivi kauli hii unaichambua vip