Je, kizazi cha sasa kinakwama wapi katika kudumisha ndoa?

yuzazifu

JF-Expert Member
Oct 6, 2018
5,109
9,407
Natumai hamjambo wanajamvi.

Wakuu linapokuja suala la ndoa kizazi cha sasa kinafail mno, zamani watu walichaguliwa wake/waume na walilazimika kuwaoa/kuolewa nao hata kama hawawapendi bt ndoa zilidumu, chakushangaza miaka ya sasa mtu anamchagua mwenyewe wa kumuoa/kuolewa naye but ndoa hazidumu, je ni wapi kizazi cha sasa kinakwama kuzidumisha ndoa akati watu wanawaoa/kuolewa na wawapendao?

Mnakaribishwa kushare mawazo yenu.
 
Nadhani kukosa uvumilivu na pia kushindwa kujishusha kwa baadhi ya wanandoa hasa pale inapotokea mfarakano huku kila mmoja akiwa na mawazo kwamba tukiachana leo basi kesho napata mwingine kumbe sivyo.
right, ndoa za sasa ni pasua kichwa, kitu pekee nachojiuliza sijui wanetu watakua na hali gani
 
right, kwa sasa ndoa imegeuka kitendawili kisicho majibu, akati ndoa ndo taasisi muhimu sana katika kutengeneza familia bora, je kwa mtizamo wakokipi kifanyike kunusuru hali hii mkuu
 
Ujuaji mwingi..kila mmoja yupo juu hakuna wa kujishusha na kujinyenyekeza kwa mwingine..hiyo pia inachangia.
right bt haya yote hatupaswi kuyaacha yaendelee hivo tunapaswa kutafva suluhu ili tunusuru vizazi vyetu
 
Nidhamu na kutambua majukumu yako.

Kutambua maana ya ndoa na kutambua nini maana ya kuwa mume au mke!

Kuacha kuruka ruka hovyo. Chanzo kikubwa cha ndoa kufa ni mitandao ya kijamii na simu.

Nidhamu, kujitambua na kujiheshimu!
right bt pia kulingana na zama tulizo nazo kulihitajika kuwe na somo la ndoa linalotiliwa mkazo kuanzia mashuleni ajili ya kuwajenga vijana nadhani pia inaweza kusaidia kwa kiasi fulani
 
mkuu kupitia uzi tungejadili namna gani tunaweza pata ufumbuzi angalau tukanusu familia zetu
Tatizo lengine ni kwamba mabinti siku hizi nao wanapenda. Yani wanataka waingie katika ndoa na mtu atakaye mpenda.

Hii nitofauti na matakwa ya kintelejensia na saikolojia ya ndoa, kuwa mwanaume unatakiwa apende na mwanamke anatakiwa aoneshe upendo na utii (nasii kupenda)
 
Back
Top Bottom