wikiliks
Member
- Dec 15, 2012
- 84
- 27
ndugu zangu wanajamvi muda mchache umepita tangu tulipopata taarifa za kukamatwa kwa meno ya tembo na pembe zikiwa zimebebwa kwenye meli iliyozaniwa inamilikiwa na abdulrahman kinana katibu mkuu wa ccm na kwa bahati nzuri akakiri kwamba meli ni yake. je unaweza kusema kwamba kinana siyo jangili? na kama ni jangili je ni kwa nini dola isichukue mkondo wake? je polisi kumkamata ni hadi wakamuulize nani? mwizi wa kuku = kiberiti jangili= upepo wa kisiasa tu mshkaji. naombeni maoni yenu bila kumung`unya maneno.