Kaunda alipigwa kwenye sanduku la kura na Fredrick Chiluba.Hamjambo wana jamvi? Hali ni tete kwa rais wa Zambia Edgar Lungu. Rungu la wapiga kura limemshukia huku mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema akizidi kuchanga mbuga kumnyang'anya ikulu. Sisi kama majirani na marafiki tunaangalia kwa jicho la karibu. Je kilichotokea Malawi ambapo upinzani uliingasha serikali iliyoko madarakani kinajirudia Zambia? Je watanzania tunajifunza nini? Inakuwaje viinchi vidogo vinatushinda? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA TAFADHALI
Issue sio wapinzani kuingia madarakani, je wanauwezo wa kuongoza nchi Kama kujiongoza wao tu ni shida wamebaki kusalitiana,kutengana na kuunda magenge ya kula ruzuku zaoSio kwamba vi nchi vidogo vinatushinda. Ila ukweli ni kuwa katiba zao zinaunafuu kuliko hii ya kwetu. Ndo maana inakuwa rahisi kwa wapinzani kupindua meza wakikaza. Bongo lazima tupiganie katiba mpya na tume huru kama tunataka tutoe chance kwa wapinzani kuingia madarakani. Lasivyo kwa katiba hii, njia inayobaki ni ya mapinduzi ndo wengine wataweza kuingia madarakani.
Issue sio wapinzani kuingia madarakani, je wanauwezo wa kuongoza nchi Kama kujiongoza wao tu ni shida wamebaki kusalitiana,kutengana na kuunda magenge ya kula ruzuku zao
Kazi kweli kweli. Afrika inaamka. Yalitokea kwa Mugabe, Yahya Jammeh, Lauerent Kabila, Idris Edby na sasa Zambia.Hamjambo wana jamvi? Hali ni tete kwa rais wa Zambia Edgar Lungu. Rungu la wapiga kura limemshukia huku mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema akizidi kuchanga mbuga kumnyang'anya ikulu. Sisi kama majirani na marafiki tunaangalia kwa jicho la karibu. Je kilichotokea Malawi ambapo upinzani uliingasha serikali iliyoko madarakani kinajirudia Zambia? Je watanzania tunajifunza nini? Inakuwaje viinchi vidogo vinatushinda? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA TAFADHALI
Weka mazingira sawa ya uchaguzi baadae uje uulize swali kama hilo. Tume ya uchaguzi ikiwa huru hata kwa 40% CCM inaamgukia pua.Issue sio wapinzani kuingia madarakani, je wanauwezo wa kuongoza nchi Kama kujiongoza wao tu ni shida wamebaki kusalitiana,kutengana na kuunda magenge ya kula ruzuku zao
Mwananchi wa Jamhuri ya JF wewe ungependezwa iweje? Dhana na upendavyo yaweza isitokee na isiwe sahihi.Hamjambo wana jamvi? Hali ni tete kwa rais wa Zambia Edgar Lungu. Rungu la wapiga kura limemshukia huku mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema akizidi kuchanga mbuga kumnyang'anya ikulu. Sisi kama majirani na marafiki tunaangalia kwa jicho la karibu. Je kilichotokea Malawi ambapo upinzani uliingasha serikali iliyoko madarakani kinajirudia Zambia? Je watanzania tunajifunza nini? Inakuwaje viinchi vidogo vinatushinda? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA TAFADHALI
Jibu: Tanzania hatuna tume huru ya uchaguzi. Vinginevyo kingelikuwa kimewaka mda mrefu.Hamjambo wana jamvi? Hali ni tete kwa rais wa Zambia Edgar Lungu. Rungu la wapiga kura limemshukia huku mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema akizidi kuchanga mbuga kumnyang'anya ikulu. Sisi kama majirani na marafiki tunaangalia kwa jicho la karibu. Je kilichotokea Malawi ambapo upinzani uliingasha serikali iliyoko madarakani kinajirudia Zambia? Je watanzania tunajifunza nini? Inakuwaje viinchi vidogo vinatushinda? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA TAFADHALI
Zambia is a bit unique, political parties uses tribal hegemony and urban centers' communities for political mobilazation.Kaunda alipigwa kwenye sanduku la kura na Fredrick Chiluba.
Fredrick Chiluba akapigwa kwenye sanduku la kura na Levy Mwanawasa
Rupiah Banda akapigwa kwenye sanduku la kura na Michael Chilufya Sata.
Edgar Lungu anachapwa kwenye Sanduku la kura na Hakaindi Hichilema.
Lakini Zambia pia ndiyo nchi pekee ambayo marais wawili walifia madarakani na warithi wao walikuja kuondolewa madarakani kwa sanduku la kura.
hapa tunajifunza sisi ccm tuhakikishe mizizi inazama chini zaidi maana upepo wa kimbunga unapobadilika na kuwa wa kisulisuli unaweza ng'oa mbuyu legelege..Hamjambo wana jamvi? Hali ni tete kwa rais wa Zambia Edgar Lungu. Rungu la wapiga kura limemshukia huku mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema akizidi kuchanga mbuga kumnyang'anya ikulu. Sisi kama majirani na marafiki tunaangalia kwa jicho la karibu. Je kilichotokea Malawi ambapo upinzani uliingasha serikali iliyoko madarakani kinajirudia Zambia? Je watanzania tunajifunza nini? Inakuwaje viinchi vidogo vinatushinda? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA TAFADHALI
Lakini natamani kupata mlejesho baada ya upinzani kuchuka dola huko malawi hali imekua je?Hamjambo wana jamvi? Hali ni tete kwa rais wa Zambia Edgar Lungu. Rungu la wapiga kura limemshukia huku mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema akizidi kuchanga mbuga kumnyang'anya ikulu. Sisi kama majirani na marafiki tunaangalia kwa jicho la karibu. Je kilichotokea Malawi ambapo upinzani uliingasha serikali iliyoko madarakani kinajirudia Zambia? Je watanzania tunajifunza nini? Inakuwaje viinchi vidogo vinatushinda? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA TAFADHALI
Kwahiyo kwenu nyie kubadilishana madaraka maana yake ni machafukoHuku tuna maisha yetu tushazoea hatuna muda najua mnapenda zitokeee lakini kwa uwezo wa Allah hakutotokea chafuko lolote